Taarifa kwa Umma kuhusu Ajira za Walimu

Tuma sms kwa wabunge wafuatao ili wauliz swali kwa waziri mkuu leo. Fanyeni juu chini muwqlumbushe wabunge wamuulize mh Pinda kuhusu ajira zenu.Yeye ndiye TAMISEMI.
Namba ni hizi,
SUGU 0716627344, MACHALI 0757957869, MKOSAMALI 0654 476547 NA 0764760102, MNYIKA 0784222222 NA 0754694553.
 
Wanajamvi nadhani sasa tumesubiri vyakutosha bila mafanikio na wala hakuna taarifa yoyote inayotolewa juu ya ninikimekwamisha mpaka sasa hazijatolewa wahusika toeni ufafanuzi wa jambo hili najua mpo namtasoma hapa pia kumbukeni huu nimwaka wa uchaguzi nawasilisha
 
Jaman walimu tunaosubiri ajira tuungane tuandamane kudai haki yetu ya ajira.
 
Hii serikali imelala kabisa wala hatuna taarifa yoyote ebu tujitokezeni tufanye maandamano jamani tumechoka
 
Hivi kweli mtu anakaa mwaka mzima anasubiri ajira mbona sekta zingine nimwezi tu baada ya kumaliza masomo ajira zinatoka iweje kwa walimu tu
 
Hatuwezi kuwapa ajira kwa sasa kwasababu chama chetu kitakosa ilani ya uchaguzi!! Hivyo tumewaweka kipolo ili tupate ajenda ya kuwadanganyia kwenye kampeini kama tulivyofanya chaguzi zilizopita!! Poleni sana ndugu zangu chama chetu cha ccm kipo bize kwa sasa
 
Hivi kweli mtu anakaa mwaka mzima anasubiri ajira mbona sekta zingine nimwezi tu baada ya kumaliza masomo ajira zinatoka iweje kwa walimu tu

Mfano sekta gani? kumbuka kuwa walimu ndio wanajiliwa kwa wing kuliko sekta yeyote Tanzania. Pia kumbuka kuwa watu wamemaliza chuo miaka mitatu ilopita mpaka leo hawana ajira.
 
Ajira ni hadi mtakapo beba mabango kwenda kwa pinda(mzukule wa JK) labda ndio mtafikiriwa.
 
Inakatisha tamaa unapo mtumia sms naibu waziri tamisemi anayesimamia elimu kumuuliza ni lini wataajiri walimu wapya naye kujibu "bado mtajulishwa". Jibu la haraka haraka nalolipata ni kuwa naye hajui wataajiri walimu au bado sana ajira kutoka ndio maana hajataja mwezi gani watatoa.
 
Mwaka m1 tuu mnalalamika afu ictoshe uhakka wa kupangiwa k2o cha kaz upo,je wale wanaokaa miaka mi3 hm 4 nothing watasemaje??
 
nasisi october simbali tutakuwa bize na ukawa
 
Mfano sekta gani? kumbuka kuwa walimu ndio wanajiliwa kwa wing kuliko sekta yeyote Tanzania. Pia kumbuka kuwa watu wamemaliza chuo miaka mitatu ilopita mpaka leo hawana ajira.
Kuajiriwa walimu wengi siyo sababu maana mahitaji pia bado nimakubwa lakini pia serikali inakusanya kodi ili mambo kama haya yatekelezwe je hayo matokeo makubwa sasa yatafikiwaje kama hali ndo hii?
 
Mwaka m1 tuu mnalalamika afu ictoshe uhakka wa kupangiwa k2o cha kaz upo,je wale wanaokaa miaka mi3 hm 4 nothing watasemaje??
Inategemea na mahitaji ya watumishi katika sekta husika mkuu, sekta yetu ya elimu bado inamahitaji makubwa sana pia tambuwa umuhimu wa elimu katika maendeleo ya taifa lolote lazima liwekeze katika elimu
 
Sasa kama umesoma international relation unategemea ajira wap kila nchi kuna barozi? Tujadili hizi ambazo niza lazima kulingana na mahitaji
 
Nimeipenda mkuu itabidi tufanye hivyo c walimu tuu na makada mengine pia
 
Hivi kweli mtu anakaa mwaka mzima anasubiri ajira mbona sekta zingine nimwezi tu baada ya kumaliza masomo ajira zinatoka iweje kwa walimu tu


Wewe ndo uko mbali kabisa, ajira za walimu ni rahisi kuliko sector zote ukiacha sector ya afya.
 
Kama jambo huelewi sema usaidiwe hakuna serekali dunian inayotegemea wahisani kulipa mishahara. Wahisani ni kwa ajili ya project za maendeleo. So kusema kwamba serekali haitoi post sababu wahisani hawajatoa pesa ni za kizushi na uongo mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…