Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Vitisho tu vya kijinga kutaka kuwa intimidate Jamii Forums!Sijaona sehemu ambapo inaonesha taarifa iliyotolewa humu jamii forum kama Ina kosa.mkurugenzi naona kama anarudia tu kutuhabarisha
Taarifa hiyo nilipost mimi Lord denning tena kwa kuweka Taarifa iliyotumwa na ITV.
Waliosema Camera 40 ni ITV na ndo mana tukawa tunahoji hapa.
Wangewauliza ITV wamepata wapi taarifa ya Camera 40 na sio Jamii Forums.
Taarifa ya ITV iliyosema Camera 40 zinafungwa kwa Mil. 514 hii hapa chini👇