Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

Haiwezekani!!
Hapana!!

Ni taarifa ya kijinga iliyopitiliza! Nafikiri kuna mtu anamchezea to rahisi maana jamaa dhaifu! Kama kweli, walahi inabidi hata riz1 na mama salma wamuadapisha mwandishi kwa kumzalilisha hivyo baba yao!
 
Ningekuwa nilitumia kura yangu kumchagua huyu jamaa ningehama nchi, sijawahi kuona raisi dhaifu kama huyu. Nadhani anatetea ulaji wa kuendelea kuchagua hawara zake kuwa mawaziri bila kuzuiwa na bunge. Pia anatetea kutoshtakiwa kwa wizi alioufanya kupitia kwa mwanae Riziwani. Katiba ya wananchi ilitaka raisi ashtakiwe na pia akifanya uteuzi lazima bunge lithibitishe na kuidhinisha kwanza. Anatetea kutokwenda jela au The Hague, ngoja ije huku tuwakomeshe.
 
Chakunishangaza sio hizo kauli za Mhe. JK! kwani tumekwishamzoea! yeye anatumikia historia yake na wala sio Watanzania!.Cha ajabu hiyo inayoitwa taarifa kutoka ikulu! Jamani Tuache utani! watu wawajibike kwa wananchi nasio kutumia rasilimali za umma kuandika madudu!
 
Kwa hii idara ya habar hapo ikulu mbona sikuizi inatoa taarifa hata za kombolela…!!?? Kweli ikulu imegeuzwa sehemu ya kuchezea dance yaan hata hii habar inatolewa ikulu…!!!! Da…… tumekwisha tz!! Eehh mungu mbona ulimchukua nyerere mapema…??? Angeyashuhudia haya maajabu saba ya dunia ya ikulu kutoa taarifa za kombolela
 
Yaani mtu kashiba zake chai na vitumbua anabuni buni utumbo anapost
 
Kama hii kweli ni kutoka ikulu, basi Rais ajaye abadilishe hiyo kurugenzi ya ikulu yote. Kurugenzi ya ikuku inatoa statement shallow na ya kitoto namna hii?
 
Katuba nzuri ni ile iliyo husisha makundi yote katika jamii kwa kila hatua yeye mwenyew anaongea kwa wasiwasi hii ni katiba iliyoandikwa kidikteta kuliko katiba zote hapa duniani hakuna katiba iliyohusisha wananchi then ikapelekwapelekwa tu on my side najitambua hata angesema nan bado nitapaza sauti kwa kitu kisichokua sahihi kwangu
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje? auliza Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje? Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya. Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo. Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia. ¡°Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa ¨C wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo¡-.kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.¡± Ameongeza Rais Kikwete: ¡°Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje? Rais Kikwete amewambia wananchi: ¡°Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.¡± Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, DAR ES SALAAM. 10 Oktoba, 2014
hii nayo ni yeye mwenyewe au wanao mshauri?
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI

KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje?
auliza Rais Kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje?

Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya.

Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo.

Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia.

“Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa – wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo….kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.”

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?

Rais Kikwete amewambia wananchi: “Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

10 Oktoba, 2014

Hivi ni macho yangu ndo yanaona maandiko haya jinsi yalivyo au naona malupe lupe... nazidi kupata kizungumkuti juu ya hili ZIMWI linalonyemelea nchi hii .
 
Yaani hii ni taarifa toka Ikulu,Salva Rweyemamu uwezo wako ndo umefikia kikomo namna hii? aibu kwa taifa!
 
Haiwezekani!!
Hapana!!

Ni taarifa ya kijinga iliyopitiliza! Nafikiri kuna mtu anamchezea to rahisi maana jamaa dhaifu! Kama kweli, walahi inabidi hata riz1 na mama salma wamuadapisha mwandishi kwa kumzalilisha hivyo baba yao!

hyo taarifa hata kama ni ya uongo inalandana kabisa na yalokichwani kwa baba riz na washirika wake.,hakuna cha ajabu
 
Ni huyu huyu unayedai hajielewi ambaye viongozi wa kikundi kinachojiita UKAWA wanakimbilia kwake ili awasaidie katika harakati zao za kisiasa.

Kama hiyo ndiyo hoja yako, basi hawa viongozi wa UKAWA watakuwa hawajielewi zaidi ya Rais Kikwete!.


Mwana Diwani, UKAWA hawana jinsi nyingine maana JK. ndo baba mwenye nyumba. Lakini kiuhalisa JK. ni Rais msanii na anaiendesha nchii kiusanii sanii.
 
KIKWETE tatizo la umasikini tanzania unasababishwa na utawala mbovu,mambo yote yanayohusu watawala kama wabunge katiba yako imeyaondoa,TUNAJUA WEWE NI HODARI WA KUANZISHA TAASISI KAMA MIKOA MIPYA,MABARAZA LAKINI HAVINA TIJA KWA MTU WA KIJIJINI
 
Huyu Dhaifu akae kimya tu,anajidhalilisha kutoa kauli zisizo na kichwa wala miguu!
Eti nzuri iko wapi,kweli!
Huyu hakupaswa kuwa rais!kauli zake za hovyo hovyo!
Huwa nashangaa kuona jamaa anaagiza omba omba wafutiliwe mbali jijini,yeye hajioni anavyozungusha bakuli abroad?
Nways katiba sio wanawake,wakulima na wafugaji 2!
Pamoja na hayo tatizo kubwa ni uhujumu uchumi,2litaka katiba iwe mwiba kwa watu hawa,period!
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI

KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje?
auliza Rais Kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje?

Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya.

Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo.

Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia.

“Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa – wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo….kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.”

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?

Rais Kikwete amewambia wananchi: “Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

10 Oktoba, 2014

mafisadi wamo,kweli hii katiba imejali makundi yote,hadi mafisadi inawalinda.
 
Back
Top Bottom