Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu hata uandishi wake ni sufuri kabisa hivi ni kweli nchi yetu ni mbovu kiasi hiki?
 
Nasubiri ikulu ikanushe hii taarifa na kama ni wao wameandika basi hiki kitengo kinadhalilisha ikulu ya Tanzania. Huu ni upuuzi kutoka ikulu ya kikwete.
Why waandike namna hii?
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI

KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje?
auliza Rais Kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje?

Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya.

Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo.

Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia.

“Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa – wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo….kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.”

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?

Rais Kikwete amewambia wananchi: “Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

10 Oktoba, 2014

Kama uandishi wenyewe kutoka kwenye kurugenzi ya ikulu na mawasiliano basi kuna tatizo kubwa. Pia ni aibu kubwa na mnajidhalilisha. Uandishi mbaya usiokidhi vigezo vya uandishi. Endapo mimi ndo ningekuwa rais kibarua chako kingeota nyasi.
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI

KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje?
auliza Rais Kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje?

Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya.

Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo.

Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia.

“Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa – wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo….kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.”

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?

Rais Kikwete amewambia wananchi: “Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

10 Oktoba, 2014

Ikulu kumejaa mataahira!
 
Katiba inayojalimakundi yaliyosahauliwa na kupuuzwa madai yao ni ile iliyowakumbuka wananchi zaidi ya milioni 20 wa dini ya kiislam wanaodai mahakama ya kadhi kwa maridhiano bila kusubiri shari.

Watu wanapokea maoni ya wasanii wa kinengua viuno kwenye majukwaa halafu wanapuuza maoni ya wanazuoni wa kiislam wanaozungumzia hoja ya mahakama ya kadhi.

Hii ni katiba kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

ni kweli waislam milioni 20 nao wapo katika kundi maalum. eg albino, wajane, waathirika wa HIV, nk
 
Kurugenzi gani inaandika toleo lenye makosa mwanzo mwisho ,raisi anaendekeza mipasho hana aibu embu anagalia hii

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?
 
Kurugenzi ya habari ikulu inapiga kampeni ya kura ya ndiyo kwa katiba ya hovyo iliyotengenezwa na maharamia wakiongozwa na Samuel Sitta chini ya uchakachuaji wa aibu kabisa!! Kikwete aende Zanzibar akawaeleze hizo shombo!!

Eti wakulima wavuvi na wasanii!!!
 
Kwa nini rais anatuambia tuikubali katiba? Si atuache tuamue wenyewe?
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI

KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje?
auliza Rais Kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikweteamewashangaa watu wanaodai kuwa Katiba Inayopendekezwa ni mbaya,akiuliza kuwa kama Katiba hiyo ni mbaya basi hiyo nzuri ikoje?

Aidha,Rais Kikwete amesema kuwa Katiba inayojali makundi yote ndani yajamii, kama ilivyo Katiba Inayopendekezwa, kamwe haiwezi kuwa Katibambaya.

Rais Kikwete ameyasema hayo nyakati tofauti leo, Ijumaa, Oktoba 10, 2014,wakati alipozungumza na wananchi katika maeneo mbali mbali ya Mkoa waMwanza, ambako anafanya ziara ya siku tatu ya kikazi kukagua nakuzindua miradi ya maendeleo.

Akizungumza na mamia kwa mamia ya wananchi mjini Kisesa ambako ameweka jiwe lamsingi la ujenzi kwa kiwango cha lami na Barabara ya Usagara-Kisesa,Rais Kikwete amewataka wananchi kuwapuuza watu wachache wanaodai kuwaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya na badala yake wajiandae kuipigiakura ya kuikubali wakati ukiwadia.

“Sijui katiba nyingine duniani ambayo inajadili makundi yote ndani ya jamiikama hii Katiba Inayopendekezwa. Hakuna aliyeachwa – wavuvi wamo,wajane wamo, wafanyabiashara ndogo ndogo wamo, akinamama lishe wamo,wakulima wamo, wafugaji wamo….kila mtu yumo. Akinamama ndio usisemekabisa wao wamepata hata asimilia 50 kwa 50 ndani ya Bunge.”

Ameongeza Rais Kikwete: “Hivi katiba mbaya inakuwa kama inayopendekezwa nakama hii inayopendekezwa ni mbaya sasa hivi nzuri ikoje?

Rais Kikwete amewambia wananchi: “Watakuja watu kuwashawishi kuwa KatibaInayopendekezwa ni mbaya, wasikilizeni lakini tumieni akili yetu,kama ile hadithi ya mbayuwayu. Jiandaeni tu kupiga kura na kuungamkono Katiba Inayopendekezwa kwa sababu hii ni Katiba nzuri sana.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

10 Oktoba, 2014
Sina la kuongeza,Kurugenzi mnakuwa mna haraka sana?:llama:
 
Wakuu ! Katiba nzuri na ya Kweli ni ile ya Tume ya Katiba a.k.a Tume ya Warioba,ilitosha.
NASUBIR KUPIGA KURA YA HAPANA.
 
sijaona rais mpuuzi kama huyu tangu nazaliwa kweli hyu ni zombie
 
Hii inayoitwa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ....Imekwenda shule kweli? hii ni article mbovu kuwahi kuiona duniani? Mungu Ibariki Tanganyika

Halafu hakuna hata sababu ya maana ya kuitoa hiyo taarifa. Watanzania wengi wamlisikia JK kupitia vyombo vya habari akiongea siku alipoipokea hiyo Katiba.

Labda hawana kazi, kwa hiyo wanataka tujue kuwa wako kazini.

Vv
 
Japo hii kitu inaonyesha haina sahihi ya huyo muikulu ,tutaenda nayo hivyo hivyo,hakuna ubishi yaliyoandikwa ameyasema Mheshimiwa Kikwete.

Katiba hii si nzuri.
 
Back
Top Bottom