Taarifa kwa Vyombo vya habari kutoka IKULU juu ya Katiba Mpya

Katiba hii inakithi viwango kabisa. Sema watu huwa hawaridhiki tu. Lakini katika hali halisi katiba tuipigieni kura ya ndiyo
 
shekinahpres naomba ibara zinazokufanya useme katiba ni mzur ipigiwe kura ya ndio… alafu ifananishe na ile ya tume na hiyo ya bmk...
 
Last edited by a moderator:
HISTORIA YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
1. CCM hawakuwa na agenda ya Katiba mpya kwny Ilani yao.
2. Jk akaibuka na hiyo agenda mwenyewe ili aache cha kukumbukwa.
3. CCM wakachagua wajumbe wa BMK wenyewe
4. CCM wakajadil rasim wenyewe;
5. Wamepga kura wenyewe;
6.Wamesmamia kura wenyewe;
7. Wamehesab wenyewe;
8. Matokeo Wametangaza wenyewe;
9. Wameshinda wenyewe;
10. Wanashangilia wenyewe; na
11. Wamegeuza Bunge ukumb wa dans wenyewe!
12.Wamecheza dans maana katiba walotunga imewahakikshia kuendelea kuiba, kufisad ,kuwanyonya wanyonge, kuwadhulum Watanzania.!
Sema HAPANA kwa Katiba ya CCM! Tuma kwa watu wengi wajue kuikataa rasimu ya ccm!!
 

Huna akili
 
Hii imetolewa na kurugenzi ya mawasiliano ikulu?
Let me reserve my comments.
 
Km raisi anawza kuongea ivo wakat kina mamilion ya watanzania wenye akili timam na wengine ni wasomi wanaojua kipi knafaa na kipi hakifai, basi didhan km ni mtu aliyestahili kua katka hyo nafasi. Katba kutaja makundi yote ya wananchi sio hoja ya msingi wala sio sababu ya kuwafanya watanzania wanaojielewa wardhke. Mbona marekani ni muungano wa nchi zaid ya 50 na wana serikali moja tu...na pia ni taifa lenye katba fubi zaid daunian, wana katba ina sura 6 tu..
Lakn mbna hatuskii wasanii wala aknamama au wakilima wakilalamika?? Inamaana hyo katiba imetaja makund yote ya wananch wa marekani?? Suala la msingi ambalo watanzania wanaojielewa wanalilalamikia ni suala la muundo wa serikali na jinsi wabunge wanavojipa uhuru zaidi. Hayo ndio mambo ya msingi ambayo yanajenga. Sasa mkikaa mnajadili mambo ya wanawake bungeni kua 50 kwa 50 na wanaume, wakat hata wanawke wenyew hawaamin km wanaweza kumudu hzo nafasi, km sio ushabik hao waliopendekeza katba wanafuta ni nn hasa??!! Watanzania tuamke.
 
Hiyo rasimu kwa upande wa pili ni ilani ya uchaguzi next yr
 

Mkuu hilo neno. Inasema kila mtu ana haki ya kukusanyika lakini policcm wanazuia sasa sijui hiyo ijao ndio watatimiza kweli.
 
Jamani hii post ni feki imelenga kuichafua ikulu. Hata mtoto wa kindergarten hawezi kuandika hovyo hivi
 
Kwahiyo mnatulazimisha tupo tayari kwa lolote kuidai katiba mpya ilito tukana na maoni yetu sisi wananchi sio ya sitta na chenge
 
Tusijadili katiba. Tujadili kwanza huu uandishi. Ni kweli ni wa ikulu?
 
Nasubiri ikulu ikanushe hii taarifa na kama ni wao wameandika basi hiki kitengo kinadhalilisha ikulu ya Tanzania. Huu ni upuuzi kutoka ikulu ya kikwete.
Why waandike namna hii?
TThese people,wanaweza kukanusha hata kama waliandika wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…