Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
umoja wetu wakati wa shida na raha,hatimae umezaa matunda,kesho bumu kama kawa kwa wote..hii ni baada ya daruso kuukomalia uongozi kulingana na mashart yao ya mwanzo..sasa shule itasomeka kwa amani..
Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki udsm.
solidarity forever
Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki udsm.
solidarity forever