Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ile ni kwaajili ya malipo tu na si kupokelea pesa.Naona MasterCard ya Voda haifanyi kazi pia tatizo Nini?
Sijui kwanini tz kila kitu tunakuwaga wa mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni kwaajili ya malipo tu na si kupokelea pesa.Naona MasterCard ya Voda haifanyi kazi pia tatizo Nini?
Mchawi wa Mwafrika ni Mwafrika mwenyeweHatimae serikali ya wanyonge imetia PINI kwenye system ya malipo kati ya vodacom na iPay Africa. Wale tuliokua tuna trade forex na kutumia M-pesa kama njia ya kuweka na kutoa pesa Toeni pesa zenu haraka sana. Hivi kwanini serikali hii hua inasubiri kwanza ione watu wanajipatia chochote ndio ikavuruge!? Nchi hopeless sana hii
.View attachment 1253900
Ni kweli Vodacom MasterCard inatumika kwa malipo tu lakini naona haifanyi kazi kwa Sasa wa me dissable au nini ?Ile ni kwaajili ya malipo tu na si kupokelea pesa.
Sijui kwanini tz kila kitu tunakuwaga wa mwisho
Uko sahihiMchawi wa Mwafrika ni Mwafrika mwenyewe