Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Kwasababu hajatimiza makubaliano naona next stage operation iendelee!!ili Franklin D Roosevelt she achukue hadi itakapoimarika Baadae nchi yetu!!
 
Unaamini alichokisema huyo Pastor?
Ngoja tusubirie iyo trh 03/03/2022
Inaweza ikawa au isiwe!!!japo kwa uelewa wangu Hawa mapasta wanafanyia kazi taasisi nyeti kama kipilimba alivokuwa!!!hata nusu mlingoti nchini nabii bushiri alisema mwaka mpya wa Mwaka jana !!!na kweli nusu mlingoti ikapepea!!hawa jamaa sio wa kubeza tusubiri tu !!!
 
Halafu wakizungumza wapo kama wamemezeshwa maneno
 
Na huyu aliepo mlimpa mapendekezo 18 hakusikiliza wala kuyafanyia kazi sasa nae aondoke aache kiti kistaarabu tu bila maumivu!au sio???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…