Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Namba 11 Mama kakiuka kwa kuendelea kukopa na kuongeza Deni la Taifa!!Mumemtuma Ndugai aseme !!! Mmechukia jamaa kazinguliwa uspika!!nadhani operation Will be executed next stage itaendelea na mpo jikoni mnajipanga kwa sasa!!see you soon comrade!!
That is rubbish,unaweza nitajia Nchi ambayo haikopi? Kwenye Nchi zilizo na hali mbaya ya deni la Taifa,umewahi kuiona Tzn ikitajwa mahala?

Hiyo mnayoita miradi ya kimkakati mtajengea vidole na miguu yenu?
 
19. Marais waliopita wachunguzwe kwa mali walizonazo sasa na zile kabla ya kuwa marais, wakibainika walijilimbikizia mali wanyongwe
20. Wakurugenzi wapigwe chini na wilaya ziwe chini ya mkuu wa wilaya
21. Viongozi wote serikalini wawe na mikataba ili wakishndwa kazi wanyongwe
22. Dini za kuletewa zote zifutwe na kupigwa marufuku hapa nchini
23. Wanawake omba omba wakamatwe na kufungwa pia kuomba hela mwanamme liwe kosa la jinai
 
Bora tuhamie Ukraine kuliko kuacha kuomba hela, hela ya mwanaume ni tamu, ina baraka...tutaomba tu
 

Man thumbs up eeeh
 

Wasulubiwe hao
 
Mkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.

Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
Lakini mkuu kama mpo (royal) kwa ajili ya taifa inakuwaje mambo mengi yamefanyika/yanafanyika ya kifisadi na mnashindwa kuchukua maamuzi? Au ndani yenu kuna baadhi yenu mpo kwa ajili ya masirahi binafsi?
 
Lakini mkuu kama mpo (royal) kwa ajili ya taifa inakuwaje mambo mengi yamefanyika/yanafanyika ya kifisadi na mnashindwa kuchukua maamuzi? Au ndani yenu kuna baadhi yenu mpo kwa ajili ya masirahi binafsi?
Wanakuwa wazalendo pale maslahi yao yanapoguswa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu! mama huko america kasema yupo tayari KUHUSU KATIBA hata kama itagharimu uraisi Wake !je tutarajie katiba kuandikwa kabla ya 2025!!
 
Lakini mkuu kama mpo (royal) kwa ajili ya taifa inakuwaje mambo mengi yamefanyika/yanafanyika ya kifisadi na mnashindwa kuchukua maamuzi? Au ndani yenu kuna baadhi yenu mpo kwa ajili ya masirahi binafsi?
Soma post namba 129.
 

Hizo zilikuwa ni ndoto za alinacha! Nani angekubali hiyo!
 
Mkuu
Vipi Hadi sasa
Unaonaje malengo yenu yanatekelezwa!!?
 
 
Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba
Naona hatua kwa hatua
Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
Hoja zote zinajibiwa.
Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu
Limeonekana pia.
Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi.
Royal tour?

Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
Tumeona hili
Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
Ni dhahiri bila chenga.
 
Namba 2 na namba 3 tayari imetekelezwa jana [emoji736]
 

Mkuu, ndio maana nchi yetu iko hivi uionavyo na matatizo yake ni makubwa kutokana na watu wa namna hii.
Usitegemee kama nchi tukaweza pambana kiuchumi duniani na hata kucheza rafu kama wengine wafanyavyo ikiwa tutaendelea kuwa na watu kama hawa. Kwa Putin hawa ni kupigwa “nerve agent” tu kwa usalama wa Nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…