Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Tutarajie ile dhamira ya awali haitoendelea!?

Kama haitoendelea hizo nyuzi tatu Baada ya hii yaani ;FDR na 12 Tz,Mstaafu kustafishwa na kitabu ni uendelevu wa maono au ni kubadilika KWA maono!?

Kama hutojali njoo ufafanue hii,tujue kama mnafurahishwa na uendelevu wa utekelezaji wa maono yale!
 
Upande wa pili unaona namna ambavyo dhamira ya huyu ni njema kutenda haki na imempa kibali kufanya hivyo.
Deni la taifa linazidi kupaa, wanaosemwa kuwa wabunge wasiostahili bado wanaendelea kutafuna posho, uchaguzi serikali za mitaa tumeanza maandalizi na utafanyika mwakani.

Ushauri wenu haukuzingatiwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…