Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaUchaguzi wa wabunge kurudiwa ni ndoto za mchana.Hakuna siku atakubali hilo lifanyike.
Jikite 2025 kwa sasa.
Tutarajie ile dhamira ya awali haitoendelea!?Jambo unalopaswa kujua ni kwamba 'hatma' ipo kwenye ule ujumbe wa rais ambaye hajawahi kugombea ila fursa ya 'neema' inaachiliwa kufanya remedy.
Hakuna maono ambayo hayapo subject to changes. Ikiwa tu zile condition zilizopelekea maono zitabadilika basi maono pia yaweza kubadilika.
Madam president kaonesha tofauti na hapa anapatiwa nafasi ya kufanya namna inayobadilisha maono.
Asipofanya ile dhamira ya awali inakuwa na uhalali kuendelea.
Deni la taifa linazidi kupaa, wanaosemwa kuwa wabunge wasiostahili bado wanaendelea kutafuna posho, uchaguzi serikali za mitaa tumeanza maandalizi na utafanyika mwakani.Upande wa pili unaona namna ambavyo dhamira ya huyu ni njema kutenda haki na imempa kibali kufanya hivyo.
Tumemkumbusha madam President kama bado yupo aione hiiNini kinaendelea?
umeona eeh,au kuna jamboThread za jamaa naona zinapandishwa tu leo
Watu wanajikumbusha tu hamna jipyaumeona eeh,au kuna jambo
Itakuwa kuna jambo bhana, by the way hatuonani saiv ofisiniWatu wanajikumbusha tu hamna jipya
Huonani na naniItakuwa kuna jambo bhana, by the way hatuonani saiv ofisini
Dah au basi mkuuHuonani na nani
Kweli the state wamesema apewe muda!na kweli amepewa na anaupiga mwingi!!Ehee
Mwingi upiKweli the state wamesema apewe muda!na kweli amepewa na anaupiga mwingi!!