Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':

1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.

18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.

Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.

Hili la kum-designate mboe kuwa ni gaidi limeshafuta tumaini lolote jema kwa Mama. Mama amejipaka kinyesi kwa mikono yake mwenyewe, and it will take time for her to come clean on this. It is very likely kuwa atakuwa ameweka msingi wa mageuzi ya kweli nchini kwa hii mbegu aliyoipanda juzi.

It is a very serious trigger, but the ruling class is too blind to see it.
 
Hili la kum-designate mboe kuwa ni gaidi limeshafuta tumaini lolote jema kwa Mama. Mama amejipaka kinyesi kwa mikono yake mwenyewe, and it will take time for her to come clean on this. It is very likely kuwa atakuwa ameweka msingi wa mageuzi ya kweli nchini kwa hii mbegu aliyoipanda juzi.

It is a very serious trigger, but the ruling class is too blind to see it.
Honestly hukupaswa kuwa na tumaini lolote na mama.
 
Haya yanayotokea ya kiongozi mkubwa wa chama mbadala kuitwa gaidi ndiyo njia iliyopangwa tupite kuelekea kaanani?
 
Muda aliosema apewe ndiyo wa kujenga uchumi? Mwaka mmoja? Duh!
 
Nimekusoma mkuu

Changamoto ya kwanza ni katiba. Rais anapata madaraka yake kwenye katiba ambapo 'theState', pamoja na kuwa na capacity, wako well trained kujua mipaka yao, kwamba lazima katiba na sheria ziheshimiwe.

Ikiwa sisi tutaona ni sawa kuvunja katiba na kuyapoka madaraka ya rais, basi nasi hatutakuwa tofauti na hao tutakaokuwa tunataka kuwapoka madaraka. Lazima kila mtu afanye kazi kwenye misingi ya utawala wa sheria.

Ajenda kuu na ya mwanzo kwa sasa, hasa kuanzia kipindi kile cha awamu ya nne na yaliyotokea awamu ya tano, ni uundwaji wa katiba mpya. Sasa imekuwa lazima na pressure imekuwa kubwa sana hata pale 'stpeters'.

Kwa miaka mingi 'stpeters' pale kumekuwa na nguvu kubwa kwenye kulinda wakubwa. Lakini sasa kwa madhaifu ya nyuma na matatizo ya hapa karibuni, wapo wanaoona umuhimu wa kuwa na taasisi zitakazofuata msingi ya sheria na haki.

Kumbuka 'stpeters' na 'theState' sio taasisi moja. Hawa 'theState' wao wametoa muda mpaka mwakani kwa mchakato wa katiba kuanza. Nachelea kusema kama 'aliyepewa muda' hataanza hili inaweza kuwa 'too late' kwake.

Sasa kule 'stpeters' bado kuna wale conservatives ambao wanataka mambo yaende hivihivi na wanaamini wanazo means za kuhakikisha inabaki hivi. Wapo ambao wanashughulikiwa kimyakimya na muda mchache hawatakuwepo tena. Watakaobaki wakiendelea wanaweza kufanya too late ya 'aliyepewa muda' isiwe beyond mwakani.

Traditionally, kwenye miradi huko na utendaji kuliachiwa wanasiasa. Maslahi ya kiuchumi yaliachwa sana kwa watendaji serikalini. Mabadiliko ya kuweza kuwa na 'economic intelligence' kwenye taasisi ya pale 'stpeters' yatakuja mfumo wote utakapobadilishwa.

Yaani hii itakuwa transformation kubwa sana kuona focus isiwe tu kwenye ulinzi na usalama bali iende pia kwenye uchumi na biashara. Hapa bado kuna jukumu kubwa sana ila najua wapo watu kadhaa pale 'stpeters' wamekuwa wakipikwa kwa takribani miaka 12 sasa. Mmoja wao akipewa kuongoza ile idara basi anaweza kuleta tija.

Mpaka wakati huu hakujakuwa na vitendo vya kulipiza kisasi. Watu wamebadilishwa na wengi wamepewa nafasi nyingine, tena zenye heshima kabisa, ili wapate nafasi ya kujitafakari na kujipanga. Ila utashi wa kisiasa utaamua nani abaki na nani aendelee.
Mheshimiwa Tumia akili , nakushukuru sana kwa hekima yako..inayotufanya tutumie akili kuelewa. Mie kazi angu ni kutia tiki tu..na tayari naona mengi yakiwa yanafanyiwa kazi. Naamini hata mbowe na wenzake wamepewa jukumu muhimu...kazi iendeleee
 
Mheshimiwa Tumia akili , nakushukuru sana kwa hekima yako..inayotufanya tutumie akili kuelewa. Mie kazi angu ni kutia tiki tu..na tayari naona mengi yakiwa yanafanyiwa kazi. Naamini hata mbowe na wenzake wamepewa jukumu muhimu...kazi iendeleee
Kausha basi mkuu mbona mmbea hivo?!😡
 
ngoja tuone itakavyokuwa ila kwa magu ni mpango wa Mungu.
 
Nimekusoma mkuu

Changamoto ya kwanza ni katiba. Rais anapata madaraka yake kwenye katiba ambapo 'theState', pamoja na kuwa na capacity, wako well trained kujua mipaka yao, kwamba lazima katiba na sheria ziheshimiwe.

Ikiwa sisi tutaona ni sawa kuvunja katiba na kuyapoka madaraka ya rais, basi nasi hatutakuwa tofauti na hao tutakaokuwa tunataka kuwapoka madaraka. Lazima kila mtu afanye kazi kwenye misingi ya utawala wa sheria.

Ajenda kuu na ya mwanzo kwa sasa, hasa kuanzia kipindi kile cha awamu ya nne na yaliyotokea awamu ya tano, ni uundwaji wa katiba mpya. Sasa imekuwa lazima na pressure imekuwa kubwa sana hata pale 'stpeters'.

Kwa miaka mingi 'stpeters' pale kumekuwa na nguvu kubwa kwenye kulinda wakubwa. Lakini sasa kwa madhaifu ya nyuma na matatizo ya hapa karibuni, wapo wanaoona umuhimu wa kuwa na taasisi zitakazofuata msingi ya sheria na haki.

Kumbuka 'stpeters' na 'theState' sio taasisi moja. Hawa 'theState' wao wametoa muda mpaka mwakani kwa mchakato wa katiba kuanza. Nachelea kusema kama 'aliyepewa muda' hataanza hili inaweza kuwa 'too late' kwake.

Sasa kule 'stpeters' bado kuna wale conservatives ambao wanataka mambo yaende hivihivi na wanaamini wanazo means za kuhakikisha inabaki hivi. Wapo ambao wanashughulikiwa kimyakimya na muda mchache hawatakuwepo tena. Watakaobaki wakiendelea wanaweza kufanya too late ya 'aliyepewa muda' isiwe beyond mwakani.

Traditionally, kwenye miradi huko na utendaji kuliachiwa wanasiasa. Maslahi ya kiuchumi yaliachwa sana kwa watendaji serikalini. Mabadiliko ya kuweza kuwa na 'economic intelligence' kwenye taasisi ya pale 'stpeters' yatakuja mfumo wote utakapobadilishwa.

Yaani hii itakuwa transformation kubwa sana kuona focus isiwe tu kwenye ulinzi na usalama bali iende pia kwenye uchumi na biashara. Hapa bado kuna jukumu kubwa sana ila najua wapo watu kadhaa pale 'stpeters' wamekuwa wakipikwa kwa takribani miaka 12 sasa. Mmoja wao akipewa kuongoza ile idara basi anaweza kuleta tija.

Mpaka wakati huu hakujakuwa na vitendo vya kulipiza kisasi. Watu wamebadilishwa na wengi wamepewa nafasi nyingine, tena zenye heshima kabisa, ili wapate nafasi ya kujitafakari na kujipanga. Ila utashi wa kisiasa utaamua nani abaki na nani aendelee.
Good point mkuu.

Kama kweli vijana wanapikwa kwa 12 yrs hiyo ni big step maana stpeters mazee umri wawatupa.

Ujasusi katika Uchumi na biashara ndo vimeshika kasi kwa sasa duniani kote kiasi cha kupelekea kuwepo ile FiveEyes ya wajomba na binamu.

Mwisho nimewahi kupendekeza hiyo ya kumpata DG kule juu ambae nadhani akiwa ndani ya hao wanopikwa sasa haitakuwa mbaya na pia awe na exposure ya masuala yanoendelea kidunia.

Leo hii mtu akiulizwa mabadiliko ya kitabia kwa nchi za Marekani, China na Russia awe tayari kuwa na data mezani.

China juzi kapeleka kifaa mwezini na mwezi huu kazindua speed train ya nguvu yenye kasi ya 600km kwa saa!!.

Train hiyo itakuwa yaelea juu ya tracks.

Pia, hili suala la ugaidi wa ndani na majaribio ya uhai wa viongozi tuweze kuona wapi chanzo chake na kuwa tayari kuvikabili kama taifa.

Usalama na cyber security na ukuaji wa teknolojia mbalimbali ndo vyashika kasi kwa sasa duniani. Natarajia tuwe na watu walo tayari kukabiliana na hali hizi accordingly.
 
Kudadadeki zenu nyie mbwa, kwani nchi yenu peke yenu hii??!!, kwahiyo asipofanya hayo ndio mtafanyaje yani, ndio mtaendelea na huo mpango wenu?! Hahahah, dddaaaaaadek
Ha ha hawa jamaa mpka nimeogopa yani[emoji3][emoji3]
 
Hili la kum-designate mboe kuwa ni gaidi limeshafuta tumaini lolote jema kwa Mama. Mama amejipaka kinyesi kwa mikono yake mwenyewe, and it will take time for her to come clean on this. It is very likely kuwa atakuwa ameweka msingi wa mageuzi ya kweli nchini kwa hii mbegu aliyoipanda juzi.

It is a very serious trigger, but the ruling class is too blind to see it.
Careless Whisper
 
Neno taifa lina maana gani kwa uelewa wako?

Mkuu salama!

Naomba nisema kwa uchache sana kwenye hili.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya NCHI na TAIFA.

NCHI, Mwenyezi Mungu aliumba nchi, ambayo ni

ardhi, ile ardhi Mwenyezi Mungu hakuiwekea
mipaka.

Tukija kwenye swali lako TAIFA, tunapozungumzia

taifa tunazungumzia Watu. Mimi na wewe., Yule

na Huyu. Baada ya kuwa nchi imeumbwa,

akaumbwa Adam ambaye ni Taifa. Taifa likaenda

Kuitawala nchi na kuiwekea mipaka ( ardhi).


Hivyo basi, ukija kwenye nembo ya nchi yetu kuna

Bibi na Bwana na maneno yanayosomeka

"UHURU NA UMOJA"

Tunaposema UHURU, tunamaanisha Uhuru wa

NCHI na Tunaposema UMOJA, tunamaanisha

umoja wa TAIFA.

Lakini kwanini TAIFA kama Taifa lipewe alama ya

TWIGA?


Shukrani!
 
Back
Top Bottom