Moja katika wachangiaji wakuu na waleta Uzi au mada zenye changa moto na kuibua mambo mbalimbali katika jamii yetu.
Watu wengi sana humu walikua wakijiuliza huyu MTU ameenda wapi au ameacha kutumia jamii forums.
Lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa amepigwa banned na uongozi wa jf sijui alifanya kosa gani GENTAMYCINE
Ila huyu jamaa alikua maarufu sana humu na watu wengi wali mfatilia hasa katika nyuzi zake na comments zake I hope watamfungulia hivi karibuni ili ajiunge nasi GENTAMYCINE
Watu kama hawa ni sana has a katika kukushauri na kuibua makosa katika jamii
Na kuna baadhi yatu pia hawa onekani kabisa kama NAHUJA
Na kadhalika
tupo naye kwa ID nyingine na hata hii comment tayari ameisoma. Ila mshauri abadiliahe mwandiko ule anaotumia kwasisi watumiaje wa simu unaboa kuumiza macho n.k au awe ana u bold
mwenzie nyaningambu siku hizi anachezea kichapo cha ban tu
Unaposema amepotea unamaanisha nini? Hadi jana saa 5 asubuhi tare 4 May 2018 alikua hewani. Kwanini kuwasingizia modes wakati wanafanya kazi yao bila kuangalia ID?
Ukifuata kanuni, taratibu na sheria za JF hakuna kuonewa bila sababu, ukienda kinyume utaratibu utachukua mkondo wake.