Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa me mwenyewe nilijua hivyo jamanNilijua kafariki
hahaaa nyani ngabu ban imekuwa kama nyumbani kwake "" nadhani alilewa umaarufu wa jftupo naye kwa ID nyingine na hata hii comment tayari ameisoma. Ila mshauri abadiliahe mwandiko ule anaotumia kwasisi watumiaje wa simu unaboa kuumiza macho n.k au awe ana u bold
mwenzie nyaningambu siku hizi anachezea kichapo cha ban tu
hahaaa halafu hujanipatia mrejesho mpka muda huuHuyu jamaa anazo sio chini ya ishirini sijui anawezaje kukariri hizo nywila.
RIPNilijua kafariki
Na maandishi yake kama gazeti la uwaziMi hata simuelewagi anaandika nn
mbi mbwane umupunga néeUwe leka du. Asali inge sana munu. Na wewe kidogo nikuanzishie uzi, watu wanakuulizia sana.
Mwenzangu nimeshangaa kuona eti nauliziwa!! JF kuna mambo na vijimambo!!!!!Nahuja yupo sana
Hata genta ni jana tu ndo kapata ban
HahahaKuna member sasahivi wakipotea wanapotea pamoja... Wakirudi wanarudi pamoja..
Sijui Kuna nini kilichojificha
Cc Smart911