Moja katika wachangiaji wakuu na waleta Uzi au mada zenye changa moto na kuibua mambo mbalimbali katika jamii yetu.
Watu wengi sana humu walikua wakijiuliza huyu MTU ameenda wapi au ameacha kutumia jamii forums.
Lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa amepigwa banned na uongozi wa jf sijui alifanya kosa gani
GENTAMYCINE
Ila huyu jamaa alikua maarufu sana humu na watu wengi wali mfatilia hasa katika nyuzi zake na comments zake I hope watamfungulia hivi karibuni ili ajiunge nasi
GENTAMYCINE
Watu kama hawa ni sana has a katika kukushauri na kuibua makosa katika jamii
Na kuna baadhi yatu pia hawa onekani kabisa kama
NAHUJA
Na kadhalika