Taarifa mpya ya NHIF kuhusu Toto Afya Kadi

Taarifa mpya ya NHIF kuhusu Toto Afya Kadi

Huu mfuko inaonekana ni maalum kwaajili ya waajiriwa tu.

Sisi maskini acha tufe tu.
Ulianzishwa kwa lengo hilo chifu au hujui. Ila baadae Mkapa akaja kuidiversify. Ila ilikuwa mainly kwa waajiriwa. Kwasababu, bima tuliyonayo ni social insurance, kwamba unaitaji kuwa endelevu na anayeumwa anatibiwa na asiyeumwa. Mfuko ulikuja kupata shida baada ya watanzania kutokujua kuwa bima siyo tiba bali ni kinga. Unawekeza leo ili matatizo yakifika uweze kuitumia, chakushangaza mzazi anawwza kukaa na watoto miaka mpaka miaka siku akija kukata bima ujue mtoto kapewa rufaa kwenda hospitali ya kanda au ya taifa. Kimbembe ni kuwa consultation charges za hospitali ya kanda kama Bugando ni 50,000/= so yule mtoto atatumia pesa yake ya mwanzo aliyewekeza huku akija kutumia na 1-2M more maana watoto waliojiunga wengi walikuwa na matatizo ya usonji, moyo nakadharika. Hivyo ukisema mfuko wa toto afya card uwazishwe wenyewe kama wenyewe bila kutegemea pesa za mfuko wa makato ya walioajiriwa utakuwa negative maana hamna mtu aliyewekeza bali wote wapo on time kutumia. That to say, huku kwa waajiriwa kuna wagonjwa wa dialysis ambaye mgonjwa mmoja wa dialysis anatumia 150M per year na mwingine wa anticancer anatumia 50M per year. Automatically mfuko mwingine utabidi uufinance mwingine mwisho wa siku yote huishia kucollapse. Watu wengi pia hawajui pia kuwa wanasiasa walikuwa wanaitumia hiyo bima kupiga kampeni hasa wabunge. Mbaya zaidi, serikari haitoi ruzuku kwashirika, kila kitu na operation cost unajitegemea. Mwishowe, the secured funds zinanegate na kuwa running at losses maana ndani ya humohumo kuna watoa huduma wanafanya ubadhirifu ili wapate mapato mengi nakuna wanachama wanafanya ubadhirifu kujipatia faida. Ndio maana losses haziishi. Actually NHIF ya Kenya imeshindwa mpaka ikabidi uigawanye mfuko mmoja kuwa mitatu na kustick kwenye kucoordinate watoa huduma na sio kufanya utendaji kama hapo awali. Ruto ameshindwa kabisaa. Maana watu hujua bima ni tiba ilihali ni kinga.
 
Ulianzishwa kwa lengo hilo chifu au hujui. Ila baadae Mkapa akaja kuidiversify. Ila ilikuwa mainly kwa waajiriwa. Kwasababu, bima tuliyonayo ni social insurance, kwamba unaitaji kuwa endelevu na anayeumwa anatibiwa na asiyeumwa. Mfuko ulikuja kupata shida baada ya watanzania kutokujua kuwa bima siyo tiba bali ni kinga. Unawekeza leo ili matatizo yakifika uweze kuitumia, chakushangaza mzazi anawwza kukaa na watoto miaka mpaka miaka siku akija kukata bima ujue mtoto kapewa rufaa kwenda hospitali ya kanda au ya taifa. Kimbembe ni kuwa consultation charges za hospitali ya kanda kama Bugando ni 50,000/= so yule mtoto atatumia pesa yake ya mwanzo aliyewekeza huku akija kutumia na 1-2M more maana watoto waliojiunga wengi walikuwa na matatizo ya usonji, moyo nakadharika. Hivyo ukisema mfuko wa toto afya card uwazishwe wenyewe kama wenyewe bila kutegemea pesa za mfuko wa makato ya walioajiriwa utakuwa negative maana hamna mtu aliyewekeza bali wote wapo on time kutumia. That to say, huku kwa waajiriwa kuna wagonjwa wa dialysis ambaye mgonjwa mmoja wa dialysis anatumia 150M per year na mwingine wa anticancer anatumia 50M per year. Automatically mfuko mwingine utabidi uufinance mwingine mwisho wa siku yote huishia kucollapse. Watu wengi pia hawajui pia kuwa wanasiasa walikuwa wanaitumia hiyo bima kupiga kampeni hasa wabunge. Mbaya zaidi, serikari haitoi ruzuku kwashirika, kila kitu na operation cost unajitegemea. Mwishowe, the secured funds zinanegate na kuwa running at losses maana ndani ya humohumo kuna watoa huduma wanafanya ubadhirifu ili wapate mapato mengi nakuna wanachama wanafanya ubadhirifu kujipatia faida. Ndio maana losses haziishi. Actually NHIF ya Kenya imeshindwa mpaka ikabidi uigawanye mfuko mmoja kuwa mitatu na kustick kwenye kucoordinate watoa huduma na sio kufanya utendaji kama hapo awali. Ruto ameshindwa kabisaa. Maana watu hujua bima ni tiba ilihali ni kinga.
Jitahidi kuweka Paragraph wakati ujao
 
Mfuko ulikuja kupata shida baada ya watanzania kutokujua kuwa bima siyo tiba bali ni kinga. Unawekeza leo ili matatizo yakifika uweze kuitumia,
Uhuni mtupu, kama lengo ni hilo kwanini nikienda hospitali naambiwa dawa kadhaa haziko kwenye bima nikalipe cash na muda huo nimechangia bima kwa miaka 15+ bila kuugua wala kutibiwa kwa bima?
 
KIZIMKAZI hana muda na Watanganyika zaidi ya matumbo yao na watu wake.
 
Uhuni mtupu, kama lengo ni hilo kwanini nikienda hospitali naambiwa dawa kadhaa haziko kwenye bima nikalipe cash na muda huo nimechangia bima kwa miaka 15+ bila kuugua wala kutibiwa kwa bima?
Dawa fulani kuambiwa ukalipie ni kwasababu NHIF ipo chini ya wizara ya afya. Hapo ni kusema kwamba hakuna dawa isiyoidhinishwa na wizara au MSD na NHIF iache kulipa. Hapo ndio kunamuongozo wa matibabu wa Taifa unaitwa Standard Treatment Guideline imetoka juzi ya 2021. Dawa zote zilizoainishwa na wizara kwajili ya matibabu zimeorodheshwa mule. Na wizara ndio inapanga dawa gani itumike Tanzania.
Hivyo basi, bado kuna dawa nyingine nyingi ambazo wizara haijazitambua wala kuziingiza kwenye muongo wa matibabu wa taifa kama Livolinforte na zinginezo. NHIF haina mamlaka ya kuipiku wizara maana NHIF ipo chini ya wizara ya afya. Hivyo jua na tambua dawa hizo unazozitumia hazipo kwenye muongozo wa matibabu wa taifa.
Kuchangia kwa miaka 15+ haimaanishi ndio mfuko umetajirika laasivyo mfuko ukubali kuweka private accounts kwaajili ya michango ya kila mmoja ili kila mmoja aweze kutumia account yake pale anapoumwa. Mind you, wewe kipindi huumwi kuna watu walikuwa wanaumwa na matibabu yao yana gharimu 50M+ per year. Ndio maana ukaambiwa scheme ya bima hii ni social, asiyeumwa anamchangia anayeumwa. Siku utakapopata magonjwa yasiyoambukizwa na yenye matibabu yasiyo na mwisho ndipo watu huja kufungua bima za vifurushi. Hapo ndipo mtambuka wenyewe hutokea.
 
Ulianzishwa kwa lengo hilo chifu au hujui. Ila baadae Mkapa akaja kuidiversify. Ila ilikuwa mainly kwa waajiriwa. Kwasababu, bima tuliyonayo ni social insurance, kwamba unaitaji kuwa endelevu na anayeumwa anatibiwa na asiyeumwa. Mfuko ulikuja kupata shida baada ya watanzania kutokujua kuwa bima siyo tiba bali ni kinga. Unawekeza leo ili matatizo yakifika uweze kuitumia, chakushangaza mzazi anawwza kukaa na watoto miaka mpaka miaka siku akija kukata bima ujue mtoto kapewa rufaa kwenda hospitali ya kanda au ya taifa. Kimbembe ni kuwa consultation charges za hospitali ya kanda kama Bugando ni 50,000/= so yule mtoto atatumia pesa yake ya mwanzo aliyewekeza huku akija kutumia na 1-2M more maana watoto waliojiunga wengi walikuwa na matatizo ya usonji, moyo nakadharika. Hivyo ukisema mfuko wa toto afya card uwazishwe wenyewe kama wenyewe bila kutegemea pesa za mfuko wa makato ya walioajiriwa utakuwa negative maana hamna mtu aliyewekeza bali wote wapo on time kutumia. That to say, huku kwa waajiriwa kuna wagonjwa wa dialysis ambaye mgonjwa mmoja wa dialysis anatumia 150M per year na mwingine wa anticancer anatumia 50M per year. Automatically mfuko mwingine utabidi uufinance mwingine mwisho wa siku yote huishia kucollapse. Watu wengi pia hawajui pia kuwa wanasiasa walikuwa wanaitumia hiyo bima kupiga kampeni hasa wabunge. Mbaya zaidi, serikari haitoi ruzuku kwashirika, kila kitu na operation cost unajitegemea. Mwishowe, the secured funds zinanegate na kuwa running at losses maana ndani ya humohumo kuna watoa huduma wanafanya ubadhirifu ili wapate mapato mengi nakuna wanachama wanafanya ubadhirifu kujipatia faida. Ndio maana losses haziishi. Actually NHIF ya Kenya imeshindwa mpaka ikabidi uigawanye mfuko mmoja kuwa mitatu na kustick kwenye kucoordinate watoa huduma na sio kufanya utendaji kama hapo awali. Ruto ameshindwa kabisaa. Maana watu hujua bima ni tiba ilihali ni kinga.
Mkuu umechambua vema, hii issue na mm nipo hospital naiona,
Mzazi akiambiwa operation million, anakimbia anaenda kukata bima, anampa ant pain mtoto kwa miez mitatu, bima ikiwa active tu na yeye karudi kuitumia kwa Operation,
Hata humu waseme, watu hawajiungi bima wakiwa wazima, watu wanajiunga bima wakiwa wagonjwa, thus why tulikuwa na watoto wachache,

Though inauma ila naona NHIF wasimame hapo hapo tu aiseee, watu wajiunge kupitia shule au vifurushi vya familia, sema waruhusu kulipia kidogo kidogo
 
Dawa fulani kuambiwa ukalipie ni kwasababu NHIF ipo chini ya wizara ya afya. Hapo ni kusema kwamba hakuna dawa isiyoidhinishwa na wizara au MSD na NHIF iache kulipa. Hapo ndio kunamuongozo wa matibabu wa Taifa unaitwa Standard Treatment Guideline imetoka juzi ya 2021. Dawa zote zilizoainishwa na wizara kwajili ya matibabu zimeorodheshwa mule. Na wizara ndio inapanga dawa gani itumike Tanzania.
Hivyo basi, bado kuna dawa nyingine nyingi ambazo wizara haijazitambua wala kuziingiza kwenye muongo wa matibabu wa taifa kama Livolinforte na zinginezo. NHIF haina mamlaka ya kuipiku wizara maana NHIF ipo chini ya wizara ya afya. Hivyo jua na tambua dawa hizo unazozitumia hazipo kwenye muongozo wa matibabu wa taifa.
Kuchangia kwa miaka 15+ haimaanishi ndio mfuko umetajirika laasivyo mfuko ukubali kuweka private accounts kwaajili ya michango ya kila mmoja ili kila mmoja aweze kutumia account yake pale anapoumwa. Mind you, wewe kipindi huumwi kuna watu walikuwa wanaumwa na matibabu yao yana gharimu 50M+ per year. Ndio maana ukaambiwa scheme ya bima hii ni social, asiyeumwa anamchangia anayeumwa. Siku utakapopata magonjwa yasiyoambukizwa na yenye matibabu yasiyo na mwisho ndipo watu huja kufungua bima za vifurushi. Hapo ndipo mtambuka wenyewe hutokea.
Mkuu unaelezea vizuri sana , Asante !
 
Mkuu umechambua vema, hii issue na mm nipo hospital naiona,
Mzazi akiambiwa operation million, anakimbia anaenda kukata bima, anampa ant pain mtoto kwa miez mitatu, bima ikiwa active tu na yeye karudi kuitumia kwa Operation,
Hata humu waseme, watu hawajiungi bima wakiwa wazima, watu wanajiunga bima wakiwa wagonjwa, thus why tulikuwa na watoto wachache,

Though inauma ila naona NHIF wasimame hapo hapo tu aiseee, watu wajiunge kupitia shule au vifurushi vya familia, sema waruhusu kulipia kidogo kidogo
Kidogo kidogo itafaa maana wazazi hasa wa shule za serikali wako hali mbaya sana
 
Ulianzishwa kwa lengo hilo chifu au hujui. Ila baadae Mkapa akaja kuidiversify. Ila ilikuwa mainly kwa waajiriwa. Kwasababu, bima tuliyonayo ni social insurance, kwamba unaitaji kuwa endelevu na anayeumwa anatibiwa na asiyeumwa. Mfuko ulikuja kupata shida baada ya watanzania kutokujua kuwa bima siyo tiba bali ni kinga. Unawekeza leo ili matatizo yakifika uweze kuitumia, chakushangaza mzazi anawwza kukaa na watoto miaka mpaka miaka siku akija kukata bima ujue mtoto kapewa rufaa kwenda hospitali ya kanda au ya taifa. Kimbembe ni kuwa consultation charges za hospitali ya kanda kama Bugando ni 50,000/= so yule mtoto atatumia pesa yake ya mwanzo aliyewekeza huku akija kutumia na 1-2M more maana watoto waliojiunga wengi walikuwa na matatizo ya usonji, moyo nakadharika. Hivyo ukisema mfuko wa toto afya card uwazishwe wenyewe kama wenyewe bila kutegemea pesa za mfuko wa makato ya walioajiriwa utakuwa negative maana hamna mtu aliyewekeza bali wote wapo on time kutumia. That to say, huku kwa waajiriwa kuna wagonjwa wa dialysis ambaye mgonjwa mmoja wa dialysis anatumia 150M per year na mwingine wa anticancer anatumia 50M per year. Automatically mfuko mwingine utabidi uufinance mwingine mwisho wa siku yote huishia kucollapse. Watu wengi pia hawajui pia kuwa wanasiasa walikuwa wanaitumia hiyo bima kupiga kampeni hasa wabunge. Mbaya zaidi, serikari haitoi ruzuku kwashirika, kila kitu na operation cost unajitegemea. Mwishowe, the secured funds zinanegate na kuwa running at losses maana ndani ya humohumo kuna watoa huduma wanafanya ubadhirifu ili wapate mapato mengi nakuna wanachama wanafanya ubadhirifu kujipatia faida. Ndio maana losses haziishi. Actually NHIF ya Kenya imeshindwa mpaka ikabidi uigawanye mfuko mmoja kuwa mitatu na kustick kwenye kucoordinate watoa huduma na sio kufanya utendaji kama hapo awali. Ruto ameshindwa kabisaa. Maana watu hujua bima ni tiba ilihali ni kinga.
Tuanzishe indirect tax ya Tsh 100 kwenye kila bidhaa ikiwemo mafuta na bundle iende kwenye mfuko wa bima kila mwezi watanzania watibiwe bure maana kulipia bima kwa hiari sisi ni walalamishi sana. Sanaaa. Na tunakata tukiumwa. Bima imekua kama death will, mtu anaogopa kuandika anasema ni uchuro.
 
Tuanzishe indirect tax ya Tsh 100 kwenye kila bidhaa ikiwemo mafuta na bundle iende kwenye mfuko wa bima kila mwezi watanzania watibiwe bure maana kulipia bima kwa hiari sisi ni walalamishi sana. Sanaaa. Na tunakata tukiumwa. Bima imekua kama death will, mtu anaogopa kuandika anasema ni uchuro.
Hayo mawazo na michango yote ni mazuri ila mtendaji mkuu ni serikari kupitia wizara. NHIF haina mamlaka ya kuweka kodi isipokuwa kushauri tu. Ila kumbuka hii ni Tanzania ambayo siasa ni kubwa kuliko taaluma. Nchi inasikitisha kwakweli.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuchangia kwa miaka 15+ haimaanishi ndio mfuko umetajirika laasivyo mfuko ukubali kuweka private accounts kwaajili ya michango ya kila mmoja ili kila mmoja aweze kutumia account yake pale anapoumwa. Mind you, wewe kipindi huumwi kuna watu walikuwa wanaumwa na matibabu yao yana gharimu 50M+ per year. Ndio maana ukaambiwa scheme ya bima hii ni social, asiyeumwa anamchangia anayeumwa
Senseless, kwanini nichangie jambo nisilonufaika nalo? unazungumzia miongozo lakini haimaanishi kuwa mtu anachagua augue gonjwa gani, hiyo miongozi inatengenezwa na hao wanufaika wa bima zetu, kwani kuna ubaya gani wakibana matumizi kwenye magari ya anasa na vikao visivyo na tija na kujilipa posho kila siku ili wachangiaji watibiwe kwa jasho lao badala ya kuingia mifukoni pale wanapougua mgonjwa makubwa/
 
Senseless, kwanini nichangie jambo nisilonufaika nalo? unazungumzia miongozo lakini haimaanishi kuwa mtu anachagua augue gonjwa gani, hiyo miongozi inatengenezwa na hao wanufaika wa bima zetu, kwani kuna ubaya gani wakibana matumizi kwenye magari ya anasa na vikao visivyo na tija na kujilipa posho kila siku ili wachangiaji watibiwe kwa jasho lao badala ya kuingia mifukoni pale wanapougua mgonjwa makubwa/
Ukiongelea hilo, nafikiri unajua muhusika mkuu kwenye swala la budget ya wizara ya afya ni nani. Posho sidhani kama unaweza kulitolea ushahidi na vikao sijui kama ulishawahi kuviona. Mnufaika wa bima yako hata wewe mwenyewe umeshindwa kumpinpoint. Magari ya anasa sijui ni NHIF ndio wahusika unaowalenga au nani hasa maana nahakika hujawahi kuyaona yalipo. Tunawadhibiti wanasiasa sasa sijui kwanini nasisi tunatumia siasa. Ila nimekuelewa mkuu, NHIF wanabidi wajitahidi.
 
NHIF wanaminyoo kichwani kama mzazi anashindwa kununua bima ya 192k ataweza kulipia 312k?

Vipi na wale watoto yatima ambao wanasaidiwa kulipiwa bima?

Na huko mashuleni wanasema watoto mpaka wafike 100.

Wanarukaruka ukweli waseme tu bima imefutwa

Rais habari nyeti kama hizi hana habari nazo kuonesha ni jinsi gani hathamini maisha ya watoto maskini wa Watanzania.
Lakini mkuu inakuaje unataka sustainable insurance Lakini hutaki ilipiwe ipasavyo?
 
Ukiongelea hilo, nafikiri unajua muhusika mkuu kwenye swala la budget ya wizara ya afya ni nani. Posho sidhani kama unaweza kulitolea ushahidi na vikao sijui kama ulishawahi kuviona. Mnufaika wa bima yako hata wewe mwenyewe umeshindwa kumpinpoint. Magari ya anasa sijui ni NHIF ndio wahusika unaowalenga au nani hasa maana nahakika hujawahi kuyaona yalipo. Tunawadhibiti wanasiasa sasa sijui kwanini nasisi tunatumia siasa. Ila nimekuelewa mkuu, NHIF wanabidi wajitahidi.
Unasahau kuna Mkurugenzi wa NHIF alitajwa kumhonga Waziri wa Afya shangingi ili ampendekeze kwa awamu nyingine kushikilia nafasi hiyo na hakujitokeza hadharani kukanusha tuhuma hizo?
 
Unasahau kuna Mkurugenzi wa NHIF alitajwa kumhonga Waziri wa Afya shangingi ili ampendekeze kwa awamu nyingine kushikilia nafasi hiyo na hakujitokeza hadharani kukanusha tuhuma hizo?
Haya mkuu, social media is a disease be careful. Ila hayo mimi siyajui chief nasiwezi kuyaongea maana sina evidence na uhakika.
 
Haya mkuu, social media is a disease be careful. Ila hayo mimi siyajui chief nasiwezi kuyaongea maana sina evidence na uhakika.
Basi unatetea usiyoyajua nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom