Na ninavyoupenda sasa na ndiziOle wako uje pika utumbo utakula sufuria nzima mwenyewe!!
Popote alipo Eva, nyuma yake Adam hakosi!.. Nini tabu mama!??..
bebe kuna picha sikutaka uzione nikablock.. ngoja nikuunblock labda nilisahau tu!..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wewe akili zakoTanga mmeanza lini kupenda ndizi!?.. me napenda ile Samaki yako unavyoipika, kuna yule jamaa akaniuliza "hivi Shunie hakuipika 'kapanua' kweli!?" nikamuuliza 'kapanua nini?' akasema basi!..
Eti ndio unapikaje 'umepanua'!?..
Hua nakaa kwenye lile sofa tu, hata kucheza sijui!.. Umesahau unavyokujaga nishtua tuondoke nikilewa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me napenda unavyocheka na aibu zako ukilewa!..
[emoji23][emoji23] Sema kweli babeKure porini akati nakati 'mkono wa sweta' niliambiwa bebe ako akiwa happy muda ote, manyang'au hayapati chance!π..
Kweli tayariTayari hebu angalia tena!..
Nitapata proteins kwenye maziwa, samaki, kuku, kitimoto, mayai etc. So sausage ikae mbali nami[emoji4][emoji4]Unakosa protein nyingi sana!.. Unajua ulaji soseji unaongeza furaha ππ
Zile situmii. Daktari alinikatazaushawahi kula za asili?.. zile homemade!?.. Nikiwa happy natengeneza grade Aπ