Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hivi si atokee mwanaume mmoja humu jf ampende huyu dada, amzamishe penzini...amuweke bize yani.
[emoji3][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi si atokee mwanaume mmoja humu jf ampende huyu dada, amzamishe penzini...amuweke bize yani.
Sio lazima uelewe kila kituYani hata sijaelewa jamani
Yupo chibabuHivi si atokee mwanaume mmoja humu jf ampende huyu dada, amzamishe penzini...amuweke bize yani.
Nimeona Chizi Maarifa ni mchawi wakujitolea huyu mtu alikuwa ananipondea humu ila baada ya kusikia ni muharibifu nakuomba popote ulipo ninakazi kubwa naomba msaada wa uharibifu nipo serious
Kaoa na simpendiiKaka mkubwa tusaidie umpende huyu dada🤣
Unaweza kuja ili nikupatie dawa na pia natakiwa nikuingizie dawa mimi mwenyewe. Utakuwa tayari kukaa huku siku 3Nakuita Tena Chizi Maarifa njoo huku baba yaani mwenzio nashida y kweli kabisa nilikuwa nimesoma post asubuhi hi yamtu kufukuzwa kazi wakaomba ukawachafue hao watu kazini na mtu alikuambia ulichomfanyia mtu humu sio vizuri a beg oh plz help me human to human acha utani wa humu muangalie huyu mwanadada Unique Flower
Unampenda nani sasa dadaKaoa na simpendii
Hajui kupiga pmb huyoYupo chibabu
Huwo ni Uwongo bwana[emoji23][emoji23]Wanawake na uchawi
Kama pete na kidole
Yaani wewe unaandikaga pumba sanaBadala yakunisaidia ukaniuliza Kwa ustaarabu unanitukana sawa Huna akili ndio maana hamuoi bakini single Wala Yesu haji kuchukua kilicho chake maana hamna
Olewa na Mganga wewe yaani Majini ni free mode .Kaoa na simpendii
Aaaaaaaaah dawa gaani siku3 🤣🤣Unaweza kuja ili nikupatie dawa na pia natakiwa nikuingizie dawa mimi mwenyewe. Utakuwa tayari kukaa huku siku 3
Kuwa serious basi niulize nataka Nini sio ukurupuke tu bahana nimeona unafaa nawewe unaleta masihara Yale sio masihara tulipokuwa tunataniana humuUnaweza kuja ili nikupatie dawa na pia natakiwa nikuingizie dawa mimi mwenyewe. Utakuwa tayari kukaa huku siku 3
Je wewe unaandikaga Nini upotoloYaani wewe unaandikaga pumba sana
Chibabu tuUnampenda nani sasa dada
Ndo masharti yake na ili imwingie sawa sawa. Kutoka hapo atakuwa vizuri sana. Maana ukifuatilia nyuzi zake utagundua kuna kitu hakipo sawa kwake.Aaaaaaaaah dawa gaani siku3 🤣🤣