Taarifa muhimu

Taarifa muhimu

Nakuita Tena Chizi Maarifa njoo huku baba yaani mwenzio nashida y kweli kabisa nilikuwa nimesoma post asubuhi hi yamtu kufukuzwa kazi wakaomba ukawachafue hao watu kazini na mtu alikuambia ulichomfanyia mtu humu sio vizuri a beg oh plz help me human to human acha utani wa humu muangalie huyu mwanadada Unique Flower
Unaweza kuja ili nikupatie dawa na pia natakiwa nikuingizie dawa mimi mwenyewe. Utakuwa tayari kukaa huku siku 3
 
Unaweza kuja ili nikupatie dawa na pia natakiwa nikuingizie dawa mimi mwenyewe. Utakuwa tayari kukaa huku siku 3
Kuwa serious basi niulize nataka Nini sio ukurupuke tu bahana nimeona unafaa nawewe unaleta masihara Yale sio masihara tulipokuwa tunataniana humu
 
Back
Top Bottom