Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Na wewe si lazima uanzishe nyuzi zisizoelewekaSio lazima uelewe kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe si lazima uanzishe nyuzi zisizoelewekaSio lazima uelewe kila kitu
Eh! Mbona unaniandama hivyoo shida nini??Na wewe si lazima uanzishe nyuzi zisizoeleweka
Yes myMambo Unique Flower ? Kuna shida imetokea cute?
Oteni tuUnakuta kuna mwanaume kazaa na huyu binti mrembo
Rejea comment yangu ya mwanzo kama iko na muandamo dear.jitahidi kuwa + wakati mwingine.hakuna sehemu nimekuandama hata Kwa bahati mbaya.rudia kusomaEh! Mbona unaniandama hivyoo shida nini??
Nyuzi usipozielewa zipo nyingi tu zinazoeleweka
[emoji16] ngoja nione vile itafaaHauna hata mjomba jamani huko milimani tumpeleke akapendwe
Hahaha afadhaliKaoa na simpendii
Hahahah[emoji23]Olewa na Mganga wewe yaani Majini ni free mode .
Hahahah[emoji23] na kuku kila sikuOlewa na Mganga wewe yaani Majini ni free mode .
We!Ngoja aje!!
Uongo wapi we unadhani wateja wengi kwa waganga ni jinsia gani [emoji16]Huwo ni Uwongo bwana[emoji23][emoji23]
Ni wanawake [emoji16]Uongo wapi we unadhani wateja wengi kwa waganga ni jinsia gani [emoji16]
Na mtoa mada ni mwanamke hapo tushapata confirmation ya statement yangu [emoji16]Ni wanawake [emoji16]
Mchawi ageuka shujaaNimeona Chizi Maarifa ni mchawi wakujitolea huyu mtu alikuwa ananipondea humu ila baada ya kusikia ni muharibifu nakuomba popote ulipo ninakazi kubwa naomba msaada wa uharibifu nipo serious
Pole momYes my
Asante momPole mom
Hapana siku hizi ni wanaume aiseeNi wanawake [emoji16]
Chukua uo mzigo Mkuu mshanaNitamuweka wapi yarabi toba mimi.. Moyo wangu umeshajaa.. Nitamuonea tuu
Njoo kanisani nivunje laana yako ya kutoa Mimba maana ndo kinachokusumbua hicho kumwaga damu isiyo na hatia.Hapana siku hizi ni wanaume aisee