hawa ndugu zangu wana haki ya kuandamana.ndio demokrasia, however, agenda iko zaidi kwenye uislamu kwani naamini wanafikiri bush ni anti-islam! i dont know about that for facts but what i know bush amesaini mkataba mkubwa sana utakaosaidia miundombinu ya nchi na msaada wa afya(malaria/hiv-aids) ambao unaendelea kusaidia wananchi utaongezwa congress ikimaliza ku-debate.msaada ambao utadouble.
safi sana, lakini cha kusikitisha upo bias mno!! swali la kwanza, kuna connection gani kati ya osama na saddam/iraq!? afghanstan no doubt, na hakuna mtu hata mmoja anayepinga wamarekani kuwepo nchini humo.
mipango ya kumwangusha saddam ilikuwepo regardless ya 9/11....kwanini bush sr alishindwa in '92? economy na kufeli kwake kwenda all the way to baghdad ktk ile 1st gulf war!! clinton alikataa kusikiliza wakina Wolfwitz, Rummy, Perle and company kui-attack iraq. argument ilikuwa kwamba no fly zone zipo effective kum-contain saddam!
bush jr, alikuwa anasikiliza hao jamaa hapo juu, he had a feeling that his dad was a one term president b'se of saddam! picha ya bush sr pale hotel rasheed main entrance, na mwisho pressure toka kwa israel lobby!!
vita on terror kila mtu anaunga mkono, lakini iraq si sehemu yake!!! saddam hakuwa na wmd's, uranium from niger was a lie, ile stunt ya powell pale UN ilikuwa bogus!
tujaribu kuwa wakweli, iraq ni vita kwaajili ya israel..nyie wakina "moshe" mlitaka aondoke! ndio maana ati unasema clinton hakuwa serious juu ya osama..thts a lie and u know it! hakuwa serious kwasababu hakufanya mlivyotaka ninyi. architects wote(perle, wolfwitz na wenzao ni yahudi) na walikuwa wanafanyakazi kwa maslahi ya israel!
kusema iraq war imeletwa na 9/11 ni urongo...acha bias msee, ume-sound kama mmoja ya israel lobby operatives.!! unaweza ku-slant kwa faida yako, lakini jaribu kuweka facts.
Je, Haifa ipo safe leo hii kushinda wakati wa saddam? je osama ndio sura ya uislam? is it fair mtu akisema kwamba serikali ya israel ni terroristic?....tuache tabia ya "uyanga na simba"!!