Abraham2020
Member
- Oct 8, 2020
- 41
- 12
Mungu mkubwa,watu wa visiwa hivi watajikomboaMtatulizwa kabla hajatulizwa. Tiini sheria bila shurti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mkubwa,watu wa visiwa hivi watajikomboaMtatulizwa kabla hajatulizwa. Tiini sheria bila shurti.
Maalim Seif naye atakuwa na amani gani kusababisha mauji?Hivi Mwinyi utakuwa na amani gani kuingia madaraka huku ukiwa umeau na kumwaga damu.
Hakuna atakayekuwa na Amani ,mpaka tuuondoshe,udhalimu na uharamiaMaalim seif naye atakuwa na amani gani kusababisha mauji ?
Sawa ngoja tuendelee mpaka hapo tutapofikia siku zote nazi haivunji jiwe.Hakuna atakayekuwa na Amani ,mpaka tuuondoshe,udhalimu na uharamia
Tatizo askari hutafuta chanzo cha kuwafanyia uharamia wapinzani,sasa Hawaii vijana wadogo ndio wanakuwa victims,tumepata habari ya kuwa askari Pemba wamekuwa wakipita na magari,bila ya kushuka,na wamefyatua risasi kwa raia,waliokaa mabarazani,na kuuwa watu wasio na hatia,nakubali nazi haivunji jiwe,jee itakapofika jiwe likavunja jiwe,wewe hili utalichukulia vipi?,sababu mwenye nazi na yeye anal uwezo wa kulimiliki jiwe vilevile.Sawa ngoja tuendelee mpaka hapo tutapofikia siku zote nazi haivunji jiwe.
mawe haijibiwi kwa Risasi ya moto. Angalia Afrika kusini au nchi zingine jinsi polisi wanavyopambana na waandamanaji wanaorusha mawe. kwa sheria za ICC hilo ni kosa tena kubwa sana.Cha ajabu jana kulikuwa na clip inazunguka mitandaoni raia wanawarushia polisi mawe lakini maalimu seif hakutoka wala kutweet kulaani hilo tukio.
Ccm wanadhulumu uhai wa watu sana siku hizi mauaji yamekuwa mengi tuwakatae ccm kesho.Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa ya yanayoendelea Pemba, taarifa hiyo imeandaliwa na Maalim Seif na kutolewa kwa Umma
=======
Taarifa zilizothibitishwa kutoka Pemba zinasema wananchi watatu wameuawa kwa silaha za moto na Jeshi la Polisi kuelekea mwanzo wa upigaji kura siku ya kesho, wengine tisa wamejeruhiwa.
Usiku huu Jeshi limekuwa likigawa masanduku ya kupigia kura kwenye vituo kwa ajili ya upigaji kura wa awali. Wananchi wanaozunguka maeneo hayo wamedai kwamba masunduku hayo tayari yana kura zenye alama. Wananchi hao walizuia masunduku hayo kwenda kwenye vituo vya kupigia kura, polisi walianza kurusha mabumu ya machozi kwenye jaribio la kutawanya mkusanyiko. Baada ya kushindikana, wakatumia silaha za moto. Bahati mbaya, imepelekea vifo vya Wazanzibari watatu na tisa kujeruhiwa.
Waliofariki katika kijiji cha Kangani
Waliojeruhiwa kwa sialaha za moto
- Asha Haji Hassan(33)
- Yussuf Shaame Muhiddin(27)
- Kombo Hamad Salum(30)
Kulingana na vyanzo eneo hilo, imekuwa kuwachukua waliojeruhiwa kwenda hospitali kutoka Kangani kwa sababu barabara zote kuelekea Chake Chake, Vitongoji na Wete zinasimamiwa na vyombo vya usalama.
- Abbas Haji Nyange(27)
- Bakari Khamis Bakari(50)
- Mukhtar Yahya Hassan(16)
- Khamis Mohammed Mmanga(40)
- Hassan Kombo Ali(13)
- Abbas Mgau(22)
- Mgau Omar Mgau(35)
- Hamad Omar Hamad(20)
- Ali Hamad Seif(16)
UPDATE:
View attachment 1613359View attachment 1613360
View attachment 1613146
View attachment 1613147
Sema wewe utakataa maana mimi, mke wangu na watoto wetu tunakipa CCM KURA ZA KISHINDOCcm wanadhulumu uhai wa watu sana siku hizi mauaji yamekuwa mengi tuwakatae ccm kesho.