Zanzibar 2020 Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

Cha ajabu jana kulikuwa na clip inazunguka mitandaoni raia wanawarushia polisi mawe lakini Maalimu Seif hakutoka wala kutweet kulaani hilo tukio.
 
Sawa ngoja tuendelee mpaka hapo tutapofikia siku zote nazi haivunji jiwe.
Tatizo askari hutafuta chanzo cha kuwafanyia uharamia wapinzani,sasa Hawaii vijana wadogo ndio wanakuwa victims,tumepata habari ya kuwa askari Pemba wamekuwa wakipita na magari,bila ya kushuka,na wamefyatua risasi kwa raia,waliokaa mabarazani,na kuuwa watu wasio na hatia,nakubali nazi haivunji jiwe,jee itakapofika jiwe likavunja jiwe,wewe hili utalichukulia vipi?,sababu mwenye nazi na yeye anal uwezo wa kulimiliki jiwe vilevile.
 
Cha ajabu jana kulikuwa na clip inazunguka mitandaoni raia wanawarushia polisi mawe lakini maalimu seif hakutoka wala kutweet kulaani hilo tukio.
mawe haijibiwi kwa Risasi ya moto. Angalia Afrika kusini au nchi zingine jinsi polisi wanavyopambana na waandamanaji wanaorusha mawe. kwa sheria za ICC hilo ni kosa tena kubwa sana.

Ni Israel pekee wanaojibu kwa risasi nao wanasababu huwa wanasema walijichanganya na watu wenye bunduki ndio maana wanfayatua risasi kwa lengo la kumpiga mtu aliyeshika bunduki na sio aliyeshika jiwe. Kwa walichofanya jana Polisi ni Kosa tena kubwa sana

Tunaendelea kuangalia
 
Mkoloni kaharibu akili ya Mwafrika, tazama tunavyouwana wenyewe kwa wenyewe, mambo haya wazungu hawana, hawauwani kwasababu ya madalaka..
 
Ccm wanadhulumu uhai wa watu sana siku hizi mauaji yamekuwa mengi tuwakatae ccm kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…