we2 upo ------ sana uwezi potosha umma ujui ni kwa kiasi gani umefanya watu wawadanganye wazee wao juu ya ajira za walimu hizo Tanzania uongo mumeweka ndo posho mana viongozi ni waongo raia waongo we2 na waziri wako wa tamisemi majaliwa mumeweka walimu wa kuwachezea waziri amedanganya umma na we2 umeamua kudanganya umma izo ni lana mjomba kumbuka kuwa unatafuta ladhi