Taarifa ya Ajira mpya za waalimu - TAMISEMI

Taarifa ya Ajira mpya za waalimu - TAMISEMI

mara mpaka vyuo vitoe vyeti, mara serikali haina pesa za kuajiri, ki ukweli nchi hii haina mipango endelevu
 
we2 upo ------ sana uwezi potosha umma ujui ni kwa kiasi gani umefanya watu wawadanganye wazee wao juu ya ajira za walimu hizo Tanzania uongo mumeweka ndo posho mana viongozi ni waongo raia waongo we2 na waziri wako wa tamisemi majaliwa mumeweka walimu wa kuwachezea waziri amedanganya umma na we2 umeamua kudanganya umma izo ni lana mjomba kumbuka kuwa unatafuta ladhi

Nilitaka kuandika kama wewe, nikasita kidogo, naona ujumbe umewafikia.
 
Back
Top Bottom