Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

Mungu wa mbinguni ampe maisha marefu ndugu Dr. Wilbroad Peter Slaa. Mbulu akiwa na akili anakuwa akili kubwa kupita wote na huwezi kuiga akili yake.
Huyu ni Padri wa Kanisa Katoliki. Hawaruhusiwi kuoa. Ana familia kubwa, ana wajukuu, hapa anahaha kuwatafutia kula yao. Alikuwa Katibu Mkuu Baraza la Maaskofu. Ndiye aliyempokea Papa alipokuja. Kidogo awe Askofu, ingekuwaje?

Jiulize: hawa ni wajukuu, aliwapataje bila kuwa na mke au wake? Kwa lugha yake, mikataba ya bandari ni ya gizani. Basi na Familja yake ni ya giza. Aliwezaje kulidaganya Kanisa muda wote huo? Tangu Sekondari, Seminari Ndogo, Seminari Kuu, Shemasi, Padri, PhD. Wangapi wamejaribu kulidanganya Kanisa wakashindwa? He must be very clever.

Je, tuzidi kumwamini sasa anatenda ya Mungu kumbe anajitafutia hela kwa mabeberu kulisha familia yake ya maasi?

Alilishinda Kanisa kwa muda mrefu lakini baadaye likagundua likamfukuza. Sisi tuendelee kumwamini mpaka lini? Amkeni.
 
Asante sana kwa mkeka huu kuntu kabisaa. Hapo sasa ndipo huonekana taufauti/tofauti ya akili za bando la siku, wiki, mwezi na mwaka....

Naam AKILI NZURI ZITACHAMBUA VIZURI. Asante Dr. Slaa, somo na uwasilishaji wako unadhihirisha ukweli kwamba "ukiwa ndani ya mamlaka inayokuhudumia kwa mambo mengi, ni ngumu kuikosoa na kuusema ukweli unaoonekana wazi".

Asante sana Asante sana.
 
Phd alieihenyea sio ile ya msukuma na yule wa morogoro
 
Hili jamaa lina akili adi linakera,Ukimtoa Magufuli ingawa alifanya mengi sahihi aliharibu swala la kuondoa na kuua upinzani,
Mtu pekee anaye weza ongoza hii nchi- ni huyu mwamba hana unafki
 
Back
Top Bottom