Taarifa ya Hamas- Mauaji ya Nusseirat na operesheni ya uokoaji wa Israeli

Matusi yapi? Kwani ni siri Jeshi la Israel 80% ni wasenge.
Ulishawafaidi au ni maneno ya kijiweni tu. Kama hujawahi kuwalala au kuwapima wote. Kama si wote ulichukua representative sample ukawapima, nyamaza kwani hoja hujengwa na takwimu sahihi.
 
Na kifinyo kitaendelea na hakuna kulia lia
 
Pole sana umeandika kwa uchungu mkubwa na bado hujasema
 
Mtakwisha nyie takataka.
 
Hamas sasa hivi analipua gari yeyote itakayatoka kwenye hiyo gati, wameeambia sasa hivi hawa mateka zaido ya 120 na wengine waliwateka vitani wasaau kuwapata.
Kama wana jeuri kiasi hicho, basi wawe watulivu wanapopelekewa moto!
Sio kulialia na kuomba huruma ya walimwengu.

Jambo la msingi hapa ni wao kukaa chini na huyo adui yao wafikie muafaka na kuacha mapigano ili kuzuia mauaji zaidi kwa wapalestina wasiokuwa na hatia.
 
Nimekuja kugunduq uwezo ni mdogo sana wa kiakili unarishwa tu matango pori bila kutumia akili yako yako kwa hiyo huu uharo uliweka hapa hiyo page ndiyo ya Al Jazeera? 😅😅
 
Yaani nyie msipo acha ujinga wazungu watakutandikeni sanaaa!!
 
Mtakwisha nyie takataka.
Haha nani anaye kuambia waislamu wanaitaka dunia wewe kuliko akhera, mnao pendant dunia ni nyie wafuasi wa Paulo na Wayahudi.

Yesu yupo upande wetu na anaye wambia atarudi mwambie asubiri sana labda aje kuvunja misalaba mnao uabudu.

Lakini mi kwenye Qur'an namini harudi.
 
Wewe lazima utakuwa shoga mauji wanafanya mabasha zako lawama unatupa sisi, jinga kabisa wewe Israel hataki kusimamisha vita anasema hataki majadiliano unataka Hamas wafanye nini? Wewe punguani kweli.
Shekhe, tuliza munkari, jaribu kujibishana kwa utulivu bila matusi. Wewe ndo mleta mada halafu unaharibu uzi
 
Wapigane, waendelee kupigana mpaka Moja asalimu Amri....wasiombe msaada Wala kutegemea huruma pande zote ziwasiliane na washirika wake wapeane sapoti zipigwe vita mpaka Gaza iwe jangwa
Ila ingekuwa sisi namna tunavowaabudu watu weupe wengetufanya watakavo wangechukuwa wanawake na kufanyia kitumbaya wanaume tungekaa tu tukiwaogopa sijui waafrika matirio gani imetumika kutengenezewa,
 
Hamas wamefariki wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…