Taarifa ya Hamas- Mauaji ya Nusseirat na operesheni ya uokoaji wa Israeli

Attachments

  • IMG_5274.jpeg
    456.1 KB · Views: 2
Wapigane, waendelee kupigana mpaka Moja asalimu Amri....wasiombe msaada Wala kutegemea huruma pande zote ziwasiliane na washirika wake wapeane sapoti zipigwe vita mpaka Gaza iwe jangwa
Yeah! Kusikia kwa kenge ni damu masikioni. Ila nasi tuchukue tahadhari ili hayo magaidi yasije kukimbilia huku kwetu wakati kichapo kitakaposhika kasi ya 5-6 G dhidi yao.
 
Hamas wamefariki wangapi?
Wawili tu ambao walikuwa wanawalinda hao matekwa.

Wale mlio 200 ni raia ambao mlijiact mnawapelekea msada kwenye gari la msada k.mbe mmejaza askari wa America na waisrael.

Yani kuwauwa civilian wasio na makosa ndio mnaona mmeshinda vita kweli kondoo atabaki kuwa kondoo tu.
 
Mbona sijakubishia! Ilaha unapopigwa na msenge wewe bwabwa+++++
Dhahir eeh?!
Kwani msenge hawezi kuuwa hamna watu wenye roho mbaya kama wasenge wewe wewe mwenyewe unajionaje roho yako?
 
Kwa akili zako mateka wanalindwa na watu wawili?
 
Kwani msenge hawezi kuuwa hamna watu wenye roho mbaya kama wasenge wewe wewe mwenyewe unajionaje roho yako?
Umejuaje hayo yote dogo! Wahenga walisema!;
Mhadithia mvua imemnyea!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Umejuaje hayo yote dogo! Wahenga walisema!;
Mhadithia mvua imemnyea!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mashoga utawajua kwa mapisho na kujichekesha hovyo.
 
Israel wataokoa mateka wao wote mikononi mwa magaidi ya kiislam kwa msaada wa Mungu ni
 
Kwa hiyo wewe na Ritz ndio wawakilishi wa Hamas au inakuwaje?

Maana mnashabikia sana.
 
Kwa akili zako mateka wanalindwa na watu wawili?
We unadhani kulinda hao matekwa kuweka askari wengi si ndio unawaonyesha wengine mnalinda kitu hizo ni military strategy dogo, wale ni matekwa hawana silaha afu mwenzake hayupo mbali jumba la pili ni meter kama 200 tu, unataka wawekewe askari 10 au?

Akili kweli mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…