Taarifa ya Hamas- Mauaji ya Nusseirat na operesheni ya uokoaji wa Israeli

Ungekuwa na akili japo kidogo tu ,ingekusaidia kwenye hoja rahisi kama hizi.
 
Sasa ina maana gani ? unateka watu 120 una opoteza 40000+ pamoja na kufanya wengine kuwa disabled na nchi kuwa jangwa ,watoto hawaendi shule ,watu wanalala kwenye vifusi huku hao wazungumzaji wa hamas wao wapo kwenye hotel na familia zao.
 
Sasa ina maana gani ? unateka watu 120 una opoteza 40000+ pamoja na kufanya wengine kuwa disabled na nchi kuwa jangwa ,watoto hawaendi shule ,watu wanalala kwenye vifusi huku hao wazungumzaji wa hamas wao wapo kwenye hotel na familia zao.
40,000? mbona kidogo sana hao, weka hesabu toka 1948 mpaka leo Wapalestiuna wangapi wameuliwa na kuhamishwa kwa nguvu kwenye ardhi yao?

Hii vita ya Ghaza haiishi mpaka Quds ikombolewe.

Sasa hivi, mazayuni inawanyeeshea, kaskazini, baharini na kusini, hawasemi tu.

Meli ya mabasha zao juzi imetandikwa na Wayemeni mpaka imekimbilia Saudi Arabia kufanyiwa marekebisho. Meli ya kubeba ndege za kivita ambayo inalindwa na meli zingine kibao, mpaka walisema kiuwa hiyo hai[pigiki, Waye,meni wameinyuka.


Kaskazini huko kuna waka moto na Hesbollah wanazidisha masafa ya kuingia na kuwachapa mazayuni kila kukich, sasa wanawachapa mpaka kilomita 40 ndani ya ngome zao kutokea mpakani, kila kukicha.
 
Halafu wewe ni mtu mzima kabisa mbona unatumia maneno ya kihuni, ''mabasha zao'' ndio nini?
 
Nilisema hapa kua humu kuna magaidi. Inabid uomgozi uwe makini na hii ID.
 
magaidi wanaua wapalestina na wamewateka waisrael na wamewatawanya sehemu mbali mbali kwa mafungu, hili tu linafanya zoezi kua gumu kijeshi na wanajeshi waliopo humu wataelewa nini nasema, ila wanajesh waisrael kwa kusaidiwa na Mungu wanajitahid kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja,,wanazuia wapalestina wasiendelee kuuawawa na magaidi(savi wamefika ellfu 37), na pia kurudisha mateka either wakiwa wamekufa ama.hai, ndio.mana hatushangai gaidi mmoja anakufa na watu 274..au gaidi mmoja anakufa kuokoa mateka 4.

Kazi iendelee! God bless Israel and KILL ALL TERRORISTS.
 

View: https://x.com/marwa__osman/status/1800001157676576835?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Ungekuwa na akili japo kidogo tu ,ingekusaidia kwenye hoja rahisi kama hizi.
We ndio ukapime akili zako kama unadhani kulinda matekwa wanne inataka jeshi kamili.

Ungekuwa una fahamu mambo ya security au umepitia katika chuo cha kijeshi ungefahamu wazi POW hatakiwi kulindwa na zaidi ya askari wawili au mmoja.

Sababu hana silaha au infomation ya yale mazingara ya pale, lakini kwa kuwa akili zako ni debe tupu unadhani anatakiwa alindwe na askari wengi 😄
 
Vichekesho October 7 walifanyaje hapo israel,
 
Vichekesho October 7 walifanyaje hapo israel,
Punguani peke yake ndiyo anajua anawqza kuwa vita vilanza October 7 huenda umri wako mdogo zao la JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…