Taarifa ya ikulu kuhusu rais kikwete kufanya mazungumzo na diamond

Taarifa ya ikulu kuhusu rais kikwete kufanya mazungumzo na diamond

Ashakum si matusi.... Ikulu u r so cheap. Ni kitu cha kutolea taarifa hiki?
 
wasanii wenyewe ni hawa walioimba nataka nilewe?hapa mnaafunza nn jamii yenu?halafu eti unaema unafaidika,kwa kwenda kujenga nyumba bondeni kama mista buluu?Shame mnaosifia upuuzi huu.
 
Hii nchi bana yaani mambo ya muhimu hatupewi taarifa ila haya mambo kiaina ambayo hayana tija hatupewi
 
Tatizo ni vipaumbele..... Tanzania we have abundant lack of priorities... !
Lakini kuna wasanii kama sita hivi wanaumwa na hawana tiba ya maradhi yao na wala hawapati msaada wowote !
 
siwezi kushangaa msanii kuongea na msanii mwenzake,ila aibu ni pale chama cha siasa kumchukua jamaa akaimbe mara nimpende nani....mapenzi na siasa wapi na wapi????Kwani ROMA MKATOLIKI mwenye nyimbo za kisiasa mlimkosa???huyo ndiye alitakiwe akapige shughuri huko kigoma na si diamond eti nataka kulewa...kulewa na siasa wapi na wapi???

Nimeipenda hiyo..."msanii kuongea na msanii mwenzake" ha ha ha
 
Ni heri mrema aliamua kwenda kusomea uraisi maana alijua kama angepewa angefanya madudu.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

............ Rais Kikwete kumlipa mtaalamu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam aliyefanya utafiti........
..........Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) kuanzisha mfumo wa kusaidia kuthibiti kazi za
"wasanii"....... Mtaalamu huyo alilipwa Sh. milioni 20 kwa kazi hiyo..........

Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
IKULU
DAR ES SALAAM
4 Februari, 2013
 
duh kweli bila kuwateka vijana kwa kutumia kitu wanachokipenda unakua ujafanya kitu kabisa badala uo mda angepita kwenye vijiji vya kigoma kuangalia wananch wake wanavyo insh kwa tabu yeye anajibwaga kwenye mahotel makubwa na kuongea na wasani.
 
Mh. Hii Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeishiwa kazi? Yaani JK kuongea na Diamond inahitaji taarifa kwa Umma?(Press Release) au imetengenezwa na mwana Jamii humu?
 
Back
Top Bottom