ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
mista dhaifu yupo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yapo mambo ya msingi sana kwa sasa yanayosumbua nchi, kuonana na wasanii sio priority labda wawe walikuwa na mambo yao mengine.
Mh. Hii Kurugenzi ya
Mawasiliano Ikulu imeishiwa kazi? Yaani JK kuongea na Diamond inahitaji
taarifa kwa Umma?(Press Release) au imetengenezwa na mwana Jamii
humu?
Umemmasahau na mrembo NAOMI CAMPBEL, ikulu haikutoa taarifa
huyu mtu ananishangaza anapata wapi muda wa kuchezea hivi?