Taarifa ya JWTZ kwa Umma

Status
Not open for further replies.

Nitumie software kwani mimi muhalifu?katiba ya tz ibara 18 ni uhuru wa habari ili mradi usimtukane mtu au usi vunje sheria za nchi
 

kama wanategema usajili wa line bado wanachemka manake mbona wengi tuu wamesajili modem kwa majina ya uongo?? swala ni kwamba hata wakinikamata mimi na modem yangu, jina nililonalo sii la kwangu bado naweza kuwabambika wao.
 

Mkuu kwanini unasumbua kichwa chako hao wengi niwale wa shule ya kata wamemaliza darasa la 7 wapo hapa jamvini hawanawanacho kijua ni matusi tu na kuleta mada hazina kichwa wala miguu
 
kuzoea hizi amri za 'nyuma geuka...' saa nyingine kumbe zinapitiliza. JWTZ sio malaika bali wako likely kufanya makosa kama binadamu au taasisi nyingine yoyote hasa hizi zetu za Kitanzania.
Kitendo cha kuamua 'kukemea' ukweli badala ya kukanusha uongo katika habari yoyote huenda kikazidi kuwapeleka kusiko. Wapashaji habari kazi yao ni kuchokonoa mambo na aibu ya waandishi ni pale wanapoandika uongo na ikadhihirika.
 
Wazee wa vpn tunneling network hatukamatiki,, me IP yangu inaonesha nipo uswis
 
Wewe kupatikana sio kazi wakitaka. Aliyetengeneza jf ni binadamu ka wewe lakini najua hawatafanya hivyo hata wao wanapata habari humu lakini tuwe makini tunachoandika kinaweza kuleta madhara makubwa sana bila cc kutarajia.

binafsi najua kwamba kupatikana ni kazi rahisi sana lkn sasa je hadi wawapate wote waliochangia uzi wanafikiri ni kazi ndogo?? na je ili iwe nini??
inamaana wao wameshakuwa mafbi badala ya kuwa wanalinda amani na usalama??
 


Wakati nilipokuwa shule ya msingi kwenye somo la kiswahili ilikuwa unapewa habari fulani uisome kisha uitafutie kichwa cha habari. Kumbe somo lile lilikuwa na maana sana.

Hapa JF (na hata waandishi wetu wa magazeti) kuna tatitzo la watu kutokujua jinsi ya kubuni vichwa vya habari, mfano ni huyu aliyeleta hii habari. anaegemea kwenye hisia zake.
 

Mahadui wa Tanzania mada kama hizi, za kirizodoa jeshi ndo wanazipenda sana.
 
mbona wao hawashughuriki na kumhoji au kujuwa ukweli wa trilions of shillings za mkuu wao alizonazo ktk sccount yake amezipataje wnahangaikia na habari za JF wapuuzi hawa
 

kaka nipakulie na mim ulichovuna in summary
 
Line za simu kwa kila mtandao zintumia ip moja hivyo msidanganyike nakuogopa kukamatwa siyo rahisi!
 
Wewe kupatikana sio kazi wakitaka. Aliyetengeneza jf ni binadamu ka wewe lakini najua hawatafanya hivyo hata wao wanapata habari humu lakini tuwe makini tunachoandika kinaweza kuleta madhara makubwa sana bila cc kutarajia.

nadhani nia ya JWTZ nikutaka habari zinazo wahusu wao wazitoe wenyewe na sikila mwenye desktop akijiskia au akiwa nahabari zake za kimbea kujisambazia kama wafanyavyo wengi humu,utoaja wa taarifa una athari kubwa sana tofauti na wengi tunavyodhani hasa kwachombo kikubwa na nyeti kama JW
 
binafsi najua kwamba kupatikana ni kazi rahisi sana lkn sasa je hadi wawapate wote waliochangia uzi wanafikiri ni kazi ndogo?? na je ili iwe nini??
inamaana wao wameshakuwa mafbi badala ya kuwa wanalinda amani na usalama??
TCRA nao watakupata kwa kuto taarifa za uongo,kikubwa watu wawe makini tu.
 
sasa hii siielewi

Jeshi limuangalie msemaji wao, kama hata habari za JF zinatangaziwa vita, basi lazima hii nchi ina matatizo.... mwizi hakimbizwi kwa kelele, wangekimbiza tu kimya-kimya

Sasa na hapa sijui watatumia silaha gani??
 
kaka nipakulie na mim ulichovuna in summary

Baada ya kusoma maelezo ya niliyekua namjibu hiyo post uliyoinukuu nimegundua kwamba mitandao ya kijamii karibu yote si mahala pa kujidai na kujiachia maana kumbe unaweza kufuatiliwa na kukamatwa na mtu asiyekutakia mema. Kupatikana kwako kutawezeshwa na wamiliki wa mtandao husika kutoa IP address yako na kisha hiyo IP address kufuatiliwa kwa namna watakayoweza ili kukupata. Ni hivyo tu mkuu.
 
TCRA nao watakupata kwa kuto taarifa za uongo,kikubwa watu wawe makini tu.
kwa maana hiyo wao wanazingatia habari za jf??
kma ndivyo basi nakubali ule msemo wa badhi ya memba kwamba serikali yetu inaongozwa na taarifa za jf
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…