Taarifa ya JWTZ kwa Umma

Taarifa ya JWTZ kwa Umma

Status
Not open for further replies.
Hata hivyo credibility ya ile akaunti yao ya twitter ni questionable, thou wanatoa habari za kweli ila ukiiangalia hasa watu ambao hyo akaunt ina wa follow ndo utapata maswali mengi yenye mkanganyiko mkubwa!
 
Wao awajui kuwa sasa ni utandawazi bwana wache mambo yao ya kiamri
 
yap uko master pared unatoa oder dk 1 imesambaa vikos vyote,watu wanapeana mawasiliano hata muda huu ndani ya handaki ,kumbuka ishu ya mtwara na somalia watutuliipata longtime.wajipange waache mambo ya kizamani.
 
yap uko master pared unatoa oder dk 1 imesambaa vikos vyote,watu wanapeana mawasiliano hata muda huu ndani ya handaki ,kumbuka ishu ya mtwara na somalia watu tuliipata longtime.wajipange waache mambo ya kizamani.
 
View attachment 111561
Ifuatayo ni Taarifa toka Makao makuu ya Jeshi Tanzania ikinukuu taarifa zilizosambazwa humu JF

Taarifa kwa vyombo vya Habari


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limepata habari kupitia mtandao wa Jamii Forum na Gumzo la Jiji na mingineyo kuwa likizo zimesitishwa Jeshini na waliokuwa likizo wameitwa kurudi kazini.

Taarifa hizo pia zimeeleza kwamba Brigedi za Tembo na Kifaru zimepewa maagizo ya kuwa katika hali ya utayari endapo watahitajika kusonga mbele.

JWTZ linapenda kuwaeleza wananchi pamoja na watumiaji wa mitandao hiyo kuwa taarifa hizo ni za upotoshaji mtupu na hazina ukweli wowote. Aidha, taarifa hizo ni zenye nia ya kuzorotesha uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu (Tanzania) na majirani zake.

Sambamba na taarifa hii, pia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa za kutohusika na viunganishi vya JWTZ kwenye mitandao ya ‘Facebook‘ – (Facebook/JWTZ) na ‘Twitter‘ (Twitter/ JWTZ).

Mitandao hiyo yenye viunganishi vya JWTZ imekuwa ikijihusisha na kutoa taarifa ambazo zimekuwa zikichangiwa na watu mbalimbali, ambapo baadhi yao wamekuwa wakitoa taarifa za upotoshaji na zisizo sahihi. Tunapenda kutaarifu kwamba akaunti za facebook na twitter zilizotajwa siyo za JWTZ.

Hatua zimechukuliwa za kuwatambua wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Aidha inasisitizwa kwamba JWTZ lina taratibu za zake zinazotumika kufanya mawasiliano na Vyombo vya Habari, Taasisi, au mtu binafsi kuhusu utoaji wa taarifa.




Imetolewa na:
Kurugenzi ya habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi
Dar es salaam, Tanzania

Hizo taratibu wanazotumia kutoa taarifa ni zipi ili na sisi tuweze kuzifuata?
 
Huu ni upuuzi mwingine wa jeshi letu,

Hivi hawajui kuwa wanajeshi wengi wanatumia mitandao ya kijamii?

Mwaka 2013 unawafumba watu macho na akili watakuelewa kweli?

Haya tusubiri tuone kama taarifa hazitaendelea kutiririka hapa!
 
mbona hiyo habari ipo mitaani, long time.Wanajeshi wanaaga masela wao wanasema wanawahi boda.....kwani hata inahitaji kuambiwa tena mtu?Hii wangetumia lugha ya kuwafanya watu watumie uzalendo wasiwashtue majirani.Ingawa hata majirani wenyewe wana watu kibao kule ambao wanaona tofauti na masifa ya wanajesh wetu kupiga raia.Hao raia tayari watasema, kwani malawi si wlaichora katuni kuonyesha majeshi yetu vichakani wakati Jk akicheka na mama.
 
ilitetwa hii habari na mdau ikapigwa kufuri,nikajua mods wameambiwa ''aroooo''
 
View attachment 111561
Ifuatayo ni Taarifa toka Makao makuu ya Jeshi Tanzania ikinukuu taarifa zilizosambazwa humu JF

Taarifa kwa vyombo vya Habari


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limepata habari kupitia mtandao wa Jamii Forum na Gumzo la Jiji na mingineyo kuwa likizo zimesitishwa Jeshini na waliokuwa likizo wameitwa kurudi kazini.

Taarifa hizo pia zimeeleza kwamba Brigedi za Tembo na Kifaru zimepewa maagizo ya kuwa katika hali ya utayari endapo watahitajika kusonga mbele.

JWTZ linapenda kuwaeleza wananchi pamoja na watumiaji wa mitandao hiyo kuwa taarifa hizo ni za upotoshaji mtupu na hazina ukweli wowote. Aidha, taarifa hizo ni zenye nia ya kuzorotesha uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu (Tanzania) na majirani zake.

Sambamba na taarifa hii, pia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa za kutohusika na viunganishi vya JWTZ kwenye mitandao ya ‘Facebook‘ – (Facebook/JWTZ) na ‘Twitter‘ (Twitter/ JWTZ).

Mitandao hiyo yenye viunganishi vya JWTZ imekuwa ikijihusisha na kutoa taarifa ambazo zimekuwa zikichangiwa na watu mbalimbali, ambapo baadhi yao wamekuwa wakitoa taarifa za upotoshaji na zisizo sahihi. Tunapenda kutaarifu kwamba akaunti za facebook na twitter zilizotajwa siyo za JWTZ.

Hatua zimechukuliwa za kuwatambua wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Aidha inasisitizwa kwamba JWTZ lina taratibu za zake zinazotumika kufanya mawasiliano na Vyombo vya Habari, Taasisi, au mtu binafsi kuhusu utoaji wa taarifa.




Imetolewa na:
Kurugenzi ya habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi
Dar es salaam, Tanzania

Ubabaishaji mtupu!
eti habari ni za upotoshaji!!! mbona hawasemi usahihi ulikuwa/ni nini,
eti taarifa zina nia ya kuzorotesha uhusiano na majirani, hivi hawajui kuwa tunajua uhusiano wetu na jirani zetu malawi sii mzuri?

Hawa wasemaji wa jeshi wamekaa ki ccm zaidi kwa maana ya kuwasaidia kutoa matamko kwenye chaguzi.
hovyo kabisa.
 
Huu ni upuuzi mwingine wa jeshi letu,

Hivi hawajui kuwa wanajeshi wengi wanatumia mitandao ya kijamii?

Mwaka 2013 unawafumba watu macho na akili watakuelewa kweli?

Haya tusubiri tuone kama taarifa hazitaendelea kutiririka hapa!

naona wanatuhamasisha tuwapekuwe zaidi.
 
Hawa wenzetu bado wako kwenye analojia. Nahisi kufikia mwakani ndo kidogo wanaweza kuhamia dijitali. Jwtz network bado inasuasua.
 
Mzee Mwanakijiji njoo hapa wewe ndio ulianzisha ule Uzi,haya tuambie Kati yako na hii taarifa ya jeshi nani muongo?
 
Last edited by a moderator:
Hata sijui wanachokanusha hapa, hawajui kwamba baadhi ya askari walioitwa toka likizoni kurudi makambini ni ndugu zetu? Au wanadhani mtu akishakuwa askari anakuwa hana ndugu, jamaa na marafiki walio uraiani!

tatizo la cheo kutawala idara hii, pasipo elimu hii ya sasa ya kimawasiliano. (ndio maana deo filikujombe aliacha upolice idara ya mawasiliano kwakua boss wake la saba yeye ana master nitabu sana)
 
View attachment 111561
Ifuatayo ni Taarifa toka Makao makuu ya Jeshi Tanzania ikinukuu taarifa zilizosambazwa humu JF

Taarifa kwa vyombo vya Habari


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limepata habari kupitia mtandao wa Jamii Forum na Gumzo la Jiji na mingineyo kuwa likizo zimesitishwa Jeshini na waliokuwa likizo wameitwa kurudi kazini.

Taarifa hizo pia zimeeleza kwamba Brigedi za Tembo na Kifaru zimepewa maagizo ya kuwa katika hali ya utayari endapo watahitajika kusonga mbele.

JWTZ linapenda kuwaeleza wananchi pamoja na watumiaji wa mitandao hiyo kuwa taarifa hizo ni za upotoshaji mtupu na hazina ukweli wowote. Aidha, taarifa hizo ni zenye nia ya kuzorotesha uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu (Tanzania) na majirani zake.

Sambamba na taarifa hii, pia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa za kutohusika na viunganishi vya JWTZ kwenye mitandao ya ‘Facebook‘ – (Facebook/JWTZ) na ‘Twitter‘ (Twitter/ JWTZ).

Mitandao hiyo yenye viunganishi vya JWTZ imekuwa ikijihusisha na kutoa taarifa ambazo zimekuwa zikichangiwa na watu mbalimbali, ambapo baadhi yao wamekuwa wakitoa taarifa za upotoshaji na zisizo sahihi. Tunapenda kutaarifu kwamba akaunti za facebook na twitter zilizotajwa siyo za JWTZ.

Hatua zimechukuliwa za kuwatambua wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Aidha inasisitizwa kwamba JWTZ lina taratibu za zake zinazotumika kufanya mawasiliano na Vyombo vya Habari, Taasisi, au mtu binafsi kuhusu utoaji wa taarifa.




Imetolewa na:
Kurugenzi ya habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi
Dar es salaam, Tanzania

Kama JWTZ ni member hapa JF si waseme wenyewe? Wamejuaje mambo ya JF ili wao si member hapa. La sivyo member wetu ni wakweli binafsi nawaamini.
 
hawa jwtz, wako myuma sana, wana ua mbu kwa rungu!
 
Jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) linapanga kuchukua hatua dhidi ya wale waliotoa taarifa za upotoshaji kuhusu jeshi hilo.Taarifa iliyotajwa na kuihusisha JF ni ile iliyopostiwa hapa JF iliyodai kusitishwa likizo na pia kuitwa kazini kwa wale waliokuwa likizo.

Jeshi hilo linapanga kuanza kuchukua hatua kwa wahusika.

CHANZO:JAMBO LEO
 
Jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) linapanga kuchukua hatua dhidi ya wale waliotoa taarifa za upotoshaji kuhusu jeshi hilo.Taarifa iliyotajwa na kuihusisha JF ni ile iliyopostiwa hapa JF iliyodai kusitishwa likizo na pia kuitwa kazini kwa wale waliokuwa likizo.

Jeshi hilo linapanga kuanza kuchukua hatua kwa wahusika.

CHANZO:JAMBO LEO

Mzee Mwanakijiji huwa hakurupuki. JWTZ watachemsha tu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom