meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
huu ni udaku wa shigongo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:majani7:sheria zipo zinazoruhusu jeshi kuingia mitaani.peruzi vitabu vya sheriaJWTZ wasianze siasa za kiCCM CCM, JF iko nje ya uwezo wao. Bora watulie na kuhangaikia mambo mengine ya msingi kwao!
Watachukua hatua gani sasa...
Huu ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na magazeti....
Another none in our Millitary sense.Hebu mtafuteni huyo Kanali wenu mliyempa kitengo nyeti bila kujua kuwa ni adui halafu baadaye akawatorokeni.Tumewangeni mkono kipindi chote shida mlivyokuwa mkituhitaji na sasa mnapanga kusimama kujipima dhidi JF? JF ni sisi, hivyo mmechagua kusimama dhidi yetu na yenu wenyewe. Habari ni za uhakika sijui shida yenu nini, au jamaa wameona ndiyo muda muafaka wa kuzorotesha JFkabla ya uchaguzi mkuu?JF siyo Mtwara, wala siyo M23.
JW bana.... mie nilidhani siasa ziliondoka na mwanasiasa Shimbo.