IP address ndo imefanyaje sasa?
Kuzipata IP address zetu lazima wende kwenye data base ya JF na most of people wanatumia internet cafe sasa watamshika nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IP address ndo imefanyaje sasa?
Mzee Mwanakijiji apigwe tu maana tumechoka na hatuna njia nyingine..
Hahaha
Badala waendelee na Mazoezi ya kijeshi wanataka kuhamia Jf haya ngoja tusubili lakini wakumbuke na watu wao wako humu wakilisoma ilo badiko watajua.
(Kama yaliyoandikwa ni ya Kweli) basi this is Another none in our Millitary sense.
Hebu mtafuteni huyo Kanali wenu mliyempa kitengo nyeti bila kujua kuwa ni adui halafu baadaye akawatorokeni.
Tumewaungeni mkono kipindi chote shida mlivyokuwa mkituhitaji na sasa mnapanga kusimama kujipima dhidi JF?
JF ni sisi, hivyo mmechagua kusimama dhidi yetu na yenu wenyewe. Habari ni za uhakika sijui shida yenu nini, au jamaa wa kile chama wameona ndiyo muda muafaka wa kuitumia JWTZ kuzorotesha JFkabla ya uchaguzi mkuu?
JF siyo Mtwara, wala siyo M23.

Hii sasa kali, ngoja tuone
CHUKUA Hii itakusaidia pia..wanasema hawana FB wala TWITERWatu kama nyie ndo mnaiongezea heshima JF tunashukuru kwa kuwabandikia hiyo twit hapo juu waseme sasa kama hiyo akaunti ni yao au sio yao na kama sio yao inakuwaje wanaiachia muda wote huo? na wakuchukuliwa hatua ni mwenye hiyo akaunti sio JF,Jw walinde mipaka ya nchi kazi ya siasa za majitaka wawaachie Nape na Mwigulu
Said mwema hata panga la dhahabu ofisini kwake wanamuibia ndio itakuwa haya mambo ya digitali?Emu walinde mipaka yetu uko haya mambo ya BLOG wamuachie SAID MWEMA au na wao hawaliamini jeshi la polise.
Kutokana na upotoshaji huo Mwambene alisema Serikali ya Tanzania imeutaka mtandao huo kuomba radhi na isipofanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Wadau nawasalimu woote,,
Leo asbh kupitia vpindi vya MAGAZETI redioni zimeskika habari kuwa Jeshi la Wanachi Tz limetangaza mgogoro usiokoma kati yake na mitandao ya kijamii ikiwemo JF kwa kile kibachodaiwa kuwa Wamepakaza habari za uwongo kuwa Likizo zoote kwa Wanajeshi zimefutwa na wanajesh walokuwa likizo kurejeshwa makazini mara moja kufuatia hali ya hatari iliyokuwa imetanda nchini, JWTZ imedai kuwa habari hizo ni za kipotoshaji na uongo mkubwa na serikali haitasita kuwachukulia hayua wahusila.
Anaejua undani wa hili afunguke hapa
Kaka Ben Mugashe hivi ungekuwa ordinary System Administrator wa JWTZ na ni kweli hii TWITER handle siyo ya Taasisi unayofanyia kazi, kwa elimu ya nafasi yako na kwa nguvu ya kimamlaka ya Taasisi unayoifanyia kazi, unadhani ingekuchukua sekunde ngapi kui-pin hii handle? Kwa nini JWTZ wanalalama tu huku handle ikiendelea kubandika habari zinazowahusu? Hawajui kazi ya TCRA tuwasaidie na kuwaelekeza ofisi zao zilizpo?CHUKUA Hii itakusaidia pia..wanasema hawana FB wala TWITER