Taarifa ya kubadilisha combination kwa kidato tano na kozi za vyuo vya ufundi

Taarifa ya kubadilisha combination kwa kidato tano na kozi za vyuo vya ufundi

"Tanzaniaa Tanzaniaa, nakupenda kwa moyo wote, Nchi yaangu Tanzania, Jina lako ni tamu sana..."
(Huku nmeweka mkono kifuani)

KFC.!!! PEGE..!!
 
Hii nchi ina mambo ya kijinga sana...what is this...
Huyu waziri ni mtu wa ajabu sana..apeleke watoto wake wakasome hayo mauozo...
Haya ni matatizo ya kuishi kwa kukariri mimi sijaona kama kuna tatizo hapo na hata hivyo bado hazitoshi hizi combi zinahitaji uwanja mpana zaid wa wanafunzi kijifunza
 
1.PEGE×...
2.PEBFA×
2.KFC✓
3.KEC✓.
4.PMC✓ ✓✓

*mtu wa PEGE,chuo kikuu ataomba kozi gani?...,hapa ni kuwapoteza wadogo zetu,mwisho wa siku no.future.
*mtu wa PEBFA,chuo kikuu ataomba kozi gani. hapa pole kwa wadogo zetu,mwisho wa siku no.future.
*at least hawa wa KFC,KEC,chuo kikuu Wanapata coz .

Je ni kweli serikali inauhitaji wa wataalamu wa haya Mambo ya PEGE,PEBFA,KFC,KEC??.kinachofanywa na serikali kwa kweli ni sawa na hizi chanjo za covid,ambazo unachanjwa halafu daktari anakwambia endelea kuchukua tahadhari vaa barakoa,epuka msongamano n.k.[emoji23][emoji23][emoji23]

Nakumbuka Kuna kipindi walianzisha kozi ya community health kwa level ya certificate,watoto wakaenda kibao kusoma,baada yapo,hakuna kilichoendelea,ikaishia hapo hapo level ya certificate.kuna wale wachache mwaka juz nadhani waliajiriwa na wizara ya afya,lakini pia hawa wamepigwa lock.maana yake coz yao imeishia level ya certificate.[emoji23][emoji23].yaani serikali inaanzisha vitu ambavyo haijui baadae namna ya kuviendeleza!!!
PEGE ataenda kusomea Early Childhood education, hata Adult Education pia, akafundishe daycare pre primary na Primary schools, michezo na mchakamchaka, na kutoa huduma za kwanza michezoni
 
Hicho ki Chinese chenyewe cha ukubwani mbona vituko. Enewei acha tutest π€¥π√%£?
Kuanzia kusomea Fm four sio mbaya, wala sio ukubwani sana...mbona kuna watu wanasoma French au Spanish as 3rd language wakiwa wakubwa kabisa
 
Kuna vitu huwezi kuelewa mpaka uwe upo kwenye field husika.. dunia imebadilika sana inatakiwa twende na speed ileike inayofaa mfano HKL,HGK n.k tayari wapo wa kutosha mtaani hauoni kama mtaala mpya utapanua soko jipya la ajira mfano mtu akisoma kichina combined na Kiingereza na Kiswahili huyu mtu huoni atakuwa na market sana kwenye hii dunia yetu kwa sasa??
Sahihi kabisa
 
Hivi wizara ya elimu inashughulika na mambo yapi?
 
Hii hapana jamani.. pls no..
Jamani jamani. Watoto wetu wanaharibiwa future hivi hiv..
Compyuta advance ni ya nini si iwe kama GS tu..
Pls pls noo
Computer ni pana kuliko unavyofikiria.. kusoma miaka minne chuoni hakukufanyi uwe na uwezo wa kutosha kumkamata Kigogo.. serikali imetumia jicho la mbali sana nnchi kama Uiingereza inalalamika kukosa wataalam wakutosha wa computer kutokana na kushindwa kuwaandaa mapema wanafunzi wakiwa bado wadogo.

Binafsi nadhani kwa hili serikali inastahili pongezi..
 
Computer ni pana kuliko unavyofikiria.. kusoma miaka minne chuoni hakukufanyi uwe na uwezo wa kutosha kumkamata Kigogo.. serikali imetumia jicho la mbali sana nnchi kama Uiingereza inalalamika kukosa wataalam wakutosha wa computer kutokana na kushindwa kuwaandaa mapema wanafunzi wakiwa bado wadogo.

Binafsi nadhani kwa hili serikali inastahili pongezi..
Pongezi za kupotezeana muda... computa wasome hata kuanzia primary, advance iwe compulsory, huo upana unaousema ni upi, coding? Acheni hizo bhana...
Chuo kikuu mtoto atachagua mwenyewe
Naona na mambo ya fine arts mnaleta advance yani mradi ujinga ujinga tu...
 
Serikali imetangaza kuanza kwa Tahasusi (Combination) mpya tano kwa ajili ya Wanafunzi watakaoingia Kidato cha Tano mwaka 2021 ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa Wataalamu Nchini.

combi-pic.jpeg

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Seleman Jafo amesema Tahasusi hizo ni Fizikia, Hesabu na Kompyuta (PMC), Kiswahili, French na Chinese (KFC), Kiswahili, English na Chinese (KEC), Physical Education, Biology na Fine Art (PEBFA) na Physical Education, Geography, Economics (PEGE).

Jafo amesema Tahasusi ya PMC itatolewa katika Shule ya Sekondari ya Dodoma ambayo itakuwa maalumu kwa Wasichana ambapo kwa Wavulana itakuwa Sekondari ya Wavulana ya Iyunga.

Tahasusi ya KFC na KEC itatolewa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Morogoro na ya Wavulana Usagara wakati PEBFA na PEGE itatolewa Sekondari ya Wasichana Makambako, Sekondari ya Wavulana Kibiti na Sekondari ya Mpwapwa.

IMG_6991.jpg
Sawa na vyuoni wataenda kusoma kozi gani?

Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Mama hana hata mwezi, tayari tushaletewa na KFC mashuleni
😊
bado subway tu sasa hapo...shida sio kombi shida ni zitaleta tija kweli au ndo porojo na warning letter yake muheshimiwa
 
nadhani kungekua naupya kama ujasiriamali ungekuwepo ndani lakini hizo mpya sasa mmhh??kitendawili tega tega nikutege mwiba...
 
Kuna vitu huwezi kuelewa mpaka uwe upo kwenye field husika.. dunia imebadilika sana inatakiwa twende na speed ileike inayofaa mfano HKL,HGK n.k tayari wapo wa kutosha mtaani hauoni kama mtaala mpya utapanua soko jipya la ajira mfano mtu akisoma kichina combined na Kiingereza na Kiswahili huyu mtu huoni atakuwa na market sana kwenye hii dunia yetu kwa sasa??
Hakuna HKL na HGK walio mtaani hizo si taaluma ni Combination
 
Lengo la elimu ni nini? Tuanzie hapo kwanza. Kama lengo ni kumwezesha binadamu kuyaelewa mazingira yake katika upana wake wa jumla ni muhimu sana kumpa mtoto mwangaza mzima wa mambo yalivyo katika ulimwengu japo kwa juu juu. Ndicho kinachofanyika karibu duniani kote katika katika miaka ya mwanzo mwanzo. Kumpa binadamu angalau fununu tu ya ulimwengu huu ulivyo; na akishaipata fununu hiyo basi achague mwenyewe ni wapi anataka kuelekea.

Ukikazana watoto waspecialize tangu shule za awali utatengeneza taifa la wajinga ambao watakuwa wanajua tu kaeneo kao kadogo walikosomea na kujibana tangu awali. Ningekuelewa sana kama ungesema pengine tunachelewa mno kuwapa watoto nafasi ya kuspecialize na tungeweza kuanzia kidato cha tatu huko wakishafanya mtihani wa kidato cha pili lakini kusema kuwa waanzie kuspecialize tangu shule za awali au msingi hapana. Na sijui kama kuna taifa hapa duniani ambalo linafanya hivyo.
Mkuu
Wenzetu wanakuwa active kwenye uvumbuzi Kwa sababu ya specialization tena wakiwa toka watoto
Africa hatuna uvumbuzi wowote Kwa sababu wanasayansi wetu wanaanza kuspecialize miaka 12 toka waanze kusoma , tena baada ya kuwa spoiled na masomo yasiyo na tija.
 
Back
Top Bottom