Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu huwezi kuelewa mpaka uwe upo kwenye field husika.. dunia imebadilika sana inatakiwa twende na speed ileike inayofaa mfano HKL,HGK n.k tayari wapo wa kutosha mtaani hauoni kama mtaala mpya utapanua soko jipya la ajira mfano mtu akisoma kichina combined na Kiingereza na Kiswahili huyu mtu huoni atakuwa na market sana kwenye hii dunia yetu kwa sasa??Kula kuku za KFC utaelewa tu
Naona kama sioKwanini mkuu
Bado Pizza hut [emoji1787]Mama hana hata mwezi, tayari tushaletewa na KFC mashuleni
[emoji4]
Nasema hivi, Mi👋 Tena kwa mama 😄Bado Pizza hut [emoji1787]
Inawezekana hata unacho kilaumu hukijui.Hii nchi ina mambo ya kijinga sana...what is this...
Huyu waziri ni mtu wa ajabu sana..apeleke watoto wake wakasome hayo mauozo...
Haaahahaha nimekubali PEGE na KFC.Serikali imetangaza kuanza kwa Tahasusi (Combination) mpya tano kwa ajili ya Wanafunzi watakaoingia Kidato cha Tano mwaka 2021 ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa Wataalamu Nchini.
![]()
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Seleman Jafo amesema Tahasusi hizo ni Fizikia, Hesabu na Kompyuta (PMC), Kiswahili, French na Chinese (KFC), Kiswahili, English na Chinese (KEC), Physical Education, Biology na Fine Art (PEBFA) na Physical Education, Geography, Economics (PEGE).
Jafo amesema Tahasusi ya PMC itatolewa katika Shule ya Sekondari ya Dodoma ambayo itakuwa maalumu kwa Wasichana ambapo kwa Wavulana itakuwa Sekondari ya Wavulana ya Iyunga.
Tahasusi ya KFC na KEC itatolewa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Morogoro na ya Wavulana Usagara wakati PEBFA na PEGE itatolewa Sekondari ya Wasichana Makambako, Sekondari ya Wavulana Kibiti na Sekondari ya Mpwapwa.
![]()
Hii nilikuwa naitamani tokea zamani itawasaidia wadogo zetu,sisi wengine kidogo tulipata tabu mwanzoni.Safi kabisa kwa PMC, watu walikuwa wanasoma Chemistry then late Bsc in Computer science or IT
Chinese is an umbrella language term that encompasses multiple dialects/languages, including Mandarin, Cantonese, Hakka, and more. When you look at it closely, there are actually over 200 dialects of Chinese!Uongo, Chinese ni watu na lugha wanayozungumza zaidi huku ni Mandarin
He meant Mandarin I hope, yaani hilo kosa kubwa sana la kiufundi wanachotakiwa wizara ya Elimu kukirekebisha kabla hatujachekwa na Kenyans n the rest of the world...
Bwasheee vipi tena huyo ni mwanaccm mwenzako msifie buana.Hii nchi bhana!
Sasa Jaffo ni waziri wa elimu au wenge bado halijamtoka?
Kwa combi hii tutapata wakalimani wa kutosha kabisa [emoji23]
Chinese is an umbrella language term that encompasses multiple dialects/languages, including Mandarin, Cantonese, Hakka, and more. When you look at it closely, there are actually over 200 dialects of Chinese!Kichina kweli ?
😂 😂 😂 😂 Hii ndio raha ya kusomea Tanzania 🇹🇿�Bado na somo la historia kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita. Vurugu tupu!!
Waziri Anatetea Mboga Isimwagike Baada Ya Kuona Ugali Ndiyo Unaaga Hiyo!!🤗😇🤔Hii nchi bhana!
Sasa Jaffo ni waziri wa elimu au wenge bado halijamtoka?