Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Jaffo kaongea kutetea kibarua chake Bwashee 🙄 🙄Yeye anahusika na ujenzi wa madarasa na vyoo vya shule.
Mambo ya taaluma ni ya mama Ndalichako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaffo kaongea kutetea kibarua chake Bwashee 🙄 🙄Yeye anahusika na ujenzi wa madarasa na vyoo vya shule.
Mambo ya taaluma ni ya mama Ndalichako!
Mufa Maji haishi kutapatapa.Jaffo anaongea kama Nani? Kazi ya waziri wa elimu ni ipi?
Mkuu isije ukawa umechagua kfc sababu Ni mpenzi wa Kentucky Fried Chicken [emoji23][emoji23][emoji23]Ningekuwa mwanafunzi ningechagua KFC
😂 😂 😂KFC hili jina limekaa kisoka soka
Kabisa mkuuIla Tamisemi kuipa jukumu la kusimamia hii elimu ni kuwaonea tu,
Wangeipa tu wizara ya elimu isimamie elimu ya msingi hadi ya juu, tukijifanya kama hatuoni tutakuja vuna matakataka pale. Ukisikia kitu kinasimamiwa na Tamisemi kila mmoja ni mtaalam na mwenye maamuzi, si wenyeviti wa mitaa, diwani, Mbunge na kila mwenye kanafasi.
NdioChinese ni lugha?
Kwanini mkuuHii KFC hii itafaulisha sanaaa
Hmm kweli?Ndio
Kabisa yaaniHmm kweli?
Kiluvya Football Club hiiiiiii.KFC hili jina limekaa kisoka soka
😂 😂 😂Kiluvya Football Club hiiiiiii.
What is physical education and Fine art