Taarifa ya msemaji wa wizara ya mambo ya nje USA: Tanzania ni lazima iheshimu haki za binadamu

Taarifa ya msemaji wa wizara ya mambo ya nje USA: Tanzania ni lazima iheshimu haki za binadamu

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Hiyo hapo inajieleza yenyewe anaitwa Morgan Ortagus, kasema bashite kazuiliwa kuingia USA kwa sababu ya kukandamiza upinzani,haki ya kujieleza (alivyo hovyo bashite akashikia kidedea ka issue cha face swap cha Idris sultan na kusababisha nchi nzima tuchekwe mtandaoni).

Mishowe msemaji huyo wa Wizara ya Mambo ya Nje ya USA anasema ni lazima serikali ya Tanzania iheshimu haki za binadamu na kuwachukulia hatua wote wanaozivunja kama kina Hery kisanduku ambao wamepelekwa pemba kwa sasa
Screen Shot 2020-02-01 at 11.23.08 AM.png
 
Watang'ang'ania ushoga kwa jinsi wanavyopenda hiyo sababu
Yaa, kujikita kwenye hoja ya ushoga haitasaidia sana kwa sababu bado itabaki kwenye utashi wa mtu binafsi, kuna mambo mengine ambayo wameyaelezea, kama maswala ya usalama binafsi wa watu, uhuru wa habari, uhuru wa kujumuika na ushiriki wa vyama vya upinzani kwenye chaguzi zenye usawa na haki.
 
Hiyo hapo inajieleza yenyewe anaitwa Morgan Ortagus, kasema bashite kazuiliwa kuingia USA kwa sababu ya kukandamiza upinzani,haki ya kujieleza (alivyo hovyo bashite akashikia kidedea ka issue cha face swap cha Idris sultan na kusababisha nchi nzima tuchekwe mtandaoni).

Mishowe msemaji huyo wa Wizara ya Mambo ya Nje ya USA anasema ni lazima serikali ya Tanzania iheshimu haki za binadamu na kuwachukulia hatua wote wanaozivunja kama kina Hery kisanduku ambao wamepelekwa pemba kwa sasa
View attachment 1343098
Mkuu kwani Kazuiliwa Makonda peke yake Au Taifa zima?
Kuna Hiyo ramani hapo Juu mjumbe katupia Nchi zilizopigwa Ban 2018 na Nchi mpya Ban! Tanzania ikiwemo,
Sasa Kama Nchi tayari ilikuwa Imepigwa Ban? Ina maana gani kumpiga Makonda Ban wakati tayari ulishaipiga Ban Nchi yake?
Halafu nasikia Ina Exclude Watu wanaoenda Kutibiwa,Tourist,Wanaoenda Kufanya kazi!inawahusu Immigrants tuu!
Nisahihishe kama nimekosea!

Nieleweshe Mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani Kazuiliwa Makonda peke yake Au Taifa zima?
Kuna Hiyo ramani hapo Juu mjumbe katupia Nchi zilizopigwa Ban 2018 na Nchi mpya Ban! Tanzania ikiwemo,
Sasa Kama Nchi tayari ilikuwa Imepigwa Ban? Ina maana gani kumpiga Makonda Ban wakati tayari ulishaipiga Ban Nchi yake?
Halafu nasikia Ina Exclude Watu wanaoenda Kutibiwa,Tourist,Wanaoenda Kufanya kazi!inawahusu Immigrants tuu!
Nisahihishe kama nimekosea!

Nieleweshe Mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite na mkewe wamepigwa TOTAL BAN asipeleke makalio kule na roho mbaya..hiyo raman ni nchi zenye travel restrictions,kila mmoja ana matatizo yake,wengine total ban kama nigeria sisi haturuhusiwa ku cheza tena GREEN CARD LOTTERY, shukrani kubwa ziuendee utawala wa awamu ya tano kwa kishindo hiki.
Ila habari zilizopo za kichinichini ni kwamba sasa hivi watu wanapigwa chibi applications za visa kwenda US UK CANADA katika speed isiyo ya kawaida,passport ya Tanzania inapoteza thamani kwa kasi,hata Bashite tarehe 20-12-2019 alinyimwa Visa ya kuingia marekani
 
Hivi baba yake huyo jamaa kama anampenda sana mwanae, kwa nini asimtafutie kazi nyingine?

Kuliko kumpa kazi inayochafua nchi, apewe hata ubalozi wa madongokuinama huko apige pesa kimya kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo hapo inajieleza yenyewe anaitwa Morgan Ortagus, kasema bashite kazuiliwa kuingia USA kwa sababu ya kukandamiza upinzani,haki ya kujieleza (alivyo hovyo bashite akashikia kidedea ka issue cha face swap cha Idris sultan na kusababisha nchi nzima tuchekwe mtandaoni).

Mishowe msemaji huyo wa Wizara ya Mambo ya Nje ya USA anasema ni lazima serikali ya Tanzania iheshimu haki za binadamu na kuwachukulia hatua wote wanaozivunja kama kina Hery kisanduku ambao wamepelekwa pemba kwa sasa
View attachment 1343098
Tuseme ukweli, hii yote inatoka na prof kabudi kupwaya kwenye nafasi wa uwaziri wa mambo ya nje, kaacha kazi ya diplomasia kawa mwandika mikataba wa barrick, niwakati sasa wakuweka watu wenye akili timamu katika nafasi stahiki, makonda is just a peace of iceberg
 
Hawa wamarekani wangeenda mbali zaidi ya hapa jamani huyu dikteta uchwara atatumaliza na mabomu kwenye uchaguzi ujao,ikiwezekana apigwe ban ya kununua siraha ili ffu watumie filimbi kutawanya maandano yasiyo na kikomo
 
Kabudi amejibu nini?hebu tuwekee hapa
Ameshajibu Kabudi. Pia waulize Snowden mbona amekimbia Marekani kwa kusema ukweli kuwa marekani wanaduku mawasiliano ya marais wa EU? Hawana demokrasi hao naona wanataka raslimari zetu tu naona wanaona wivu lile deal la Barrick wanaona Africa yote itaamka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wamarekani wangeenda mbali zaidi ya hapa jamani huyu dikteta uchwara atatumaliza na mabomu kwenye uchaguzi ujao,ikiwezekana apigwe ban ya kununua siraha ili ffu watumie filimbi kutawanya maandano yasiyo na kikomo
Hahhahahaha! Kwa filimbi watakuwa wanazima moto kwa kuupuliza

***Mbire mwene Nyamwonyo***
 
Hawa wamarekani wangeenda mbali zaidi ya hapa jamani huyu dikteta uchwara atatumaliza na mabomu kwenye uchaguzi ujao,ikiwezekana apigwe ban ya kununua siraha ili ffu watumie filimbi kutawanya maandano yasiyo na kikomo
Hahhahahaha! Kwa filimbi watakuwa wanazima moto kwa kuupuliza

***Mbire mwene Nyamwonyo***
 
Back
Top Bottom