Kamili Gado
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 386
- 97
hizo mil 50 amezitoa wapi mpaka agawe kwa m2 atakayemsema mhalifu wakati inafahamika kuwa mwananchi ni polisi jamii na mlinzi wa mwenzake.
Niliona hoja juu ya mishahara ya watumishi serikalini, sasa kakusanya miezi mingapi au atakusanya miezi mingapi ifike 50mil? Mmojawapo huyo jueni anapata kiasi gani!
Wewe nawe sijui unafikiria kwa kutumia nini? hizo pesa zinatoka kwenye mfuko wa jeshi sio mfukoni mwake.
