#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Vitalis Msungwite

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2014
Posts
3,292
Reaction score
7,867
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, Ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua. Makundi yaliyopendekezwa na tume kuchanjwa yanatakiwa kuangaliwa upya.

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
 
Hawa ni wahuni tu MAJIZI na WAHALIFU wanaotumia kisingizio cha corona-bandia kutaka kupiga pesa, kuwaibia watanzania na kuwaangamiza kwa chanjo za hovyo hovyo.

Hilo genge la madaktari uchwara wenye mabarakoa hawajatueleza ni kwanini watu mitaani hawaugui corona licha ya kutokuchukua tahadhari yoyote kwa miaka miwili sasa.

Hawajatueleza ni kwanini wanataka watu wajifungie vyumbani kwa ugonjwa ambao haupo na hatuoni madhara yake.

Hiyo corona wanayoizungumzia iko kwenye vichwa vyao tu. Ndio maana wamevaa mabarakoa makubwa kuficha nyuso zao kwa aibu ya UGAIDI na WIZI wanaotaka kuufanya.
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita, tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje!

Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
 
Hawa ni wahuni tu majizi wanaotumia kisingizio cha corona bandia kutaka kupiga pesa na kuwaibia watanzania na kuwaangamiza kwa chanjo za hovyo hovyo.

Hilo genge la madaktari uchwara hawajatueleza kwanini watu mitaani hawaugui corona licha ya kutokuchukua tahadhari yoyote kwa miaka miwili sasa.

Hawajatueleza ni kwanini wanataka watu wajifungie vyumbani kwa ugonjwa ambao haupo na hatuoni madhara yake.

Hiyo corona wanayoizungumza iko kwenye vichwa vyao tu. Ndio maana wamevaa mabarakoa makubwa kuficha nyuso zao kwa aibu ya ugaidi wanaotaka kuufanya.
Huku kitaa ukisema kuna Corona nchi hii watakuona mwehu labda huko Daresalama.
 
Corona ni matatizo yanayokuja na kuondoka. Ni ya msimu, tatizo ni ile hatari inayokuwepo ndani ya jamii wakati watu wanapoanza kuuguza na kuzika ndugu zao.

Sasa hivi tunaweza tusiwe na matatizo hayo lakini hatuwezi kuukwepa ukweli kwamba muda wowote unaweza kuibuka mlipuko.

Tuchukue tahadhari binafsi na zile za kifamilia hata kama masuala kama chanjo tunaona ni ya kibiashara zaidi.
 
Corona ni matatizo yanayokuja na kuondoka. Ni ya msimu, tatizo ni ile hatari inayokuwepo ndani ya jamii wakati watu wanapoanza kuuguza na kuzika ndugu zao.

Sasa hivi tunaweza tusiwe na matatizo hayo lakini hatuwezi kuukwepa ukweli kwamba muda wowote unaweza kuibuka mlipuko.

Tuchukue tahadhari binafsi na zile za kifamilia hata kama masuala kama chanjo tunaona ni ya kibiashara zaidi.
Ahsante kwa kunipa mwanga
 
Sio yako wewe na mama yako au?
Mpumbavu wewe!!
Wewe una corona?

Majitu yamejifungia huko yanatoka na ma report ya kijinga unaunga mkono?

Hizi tume ndo zile za wizi kama zile za awamu ya nne. Na ukishaona serikali inaunda tume kwa kitu ambacho ni world wide ujiulize sana!!!

Kwani hajui nchii hii corona haikuwahi kuisha?
Nani hajui kuwa corono haina tiba?
Nani hajui hatua za kujikinga?
Aliyeunda tume amehamia nchii hii akitokea wapi?

Yaani ni ujinga ujinga tu.

Mtu atashauri watu wachanjwe...halafu anasisitiza watumisi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama......hufikirii tu kuna nini hapo?

Nani kwaambia hilo ndo kundi linaloshambukiwa na corona kuliko wengine.

Anyways, iko siku tutajielewa.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Corona ni matatizo yanayokuja na kuondoka. Ni ya msimu, tatizo ni ile hatari inayokuwepo ndani ya jamii wakati watu wanapoanza kuuguza na kuzika ndugu zao.

Sasa hivi tunaweza tusiwe na matatizo hayo lakini hatuwezi kuukwepa ukweli kwamba muda wowote unaweza kuibuka mlipuko.

Tuchukue tahadhari binafsi na zile za kifamilia hata kama masuala kama chanjo tunaona ni ya kibiashara zaidi.
Eti mlipuko? Mlipuko gani?

Mwanzoni mlituambia corona ina "mawimbi".

Tukasubiri wimbi la kwanza, likaja likapotea na tukabaki vile vile.

Mkasema linakuja wimbi la pili tukae chonjo — nalo likaja likapotelea mbali.

Sasa hivi mnasema sijui wimbi la tatu!

Kwendeni huko na mawimbi yenu uchwara!

MAJIZI nyinyi!
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Ndugu yangu hii nchi imejaa watu waliokaa darasani muda mrefu kuliko wengine na kujiita maprofesa.
Kichwani hamnaga kitu.

Yaani walitakiwa waje na kauli ya watanzania waendelee na maisha yao huku wakiendelea na kuchukua tahadhari na si kusema serikali iruhusu machanjo.

Hii nchi hii!!!
Mungu atusaidie tu.
 
Eti mlipuko? Mlipuko gani?

Mwanzoni mlituambia corona ina "mawimbi".

Tukasubiri wimbi la kwanza, likaja likapotea na tukabaki vile vile.

Mkasema linakuja wimbi la pili tukae chonjo — nalo likaja likapotelea mbali.

Sasa hivi mnasema sijui wimbi la tatu!

Kwendeni huko na mawimbi yenu uchwara!

MAJIZI nyinyi!

Eti ^mawimbi yenu^ 🙂
 
Hawa ni wahuni tu MAJIZI wanaotumia kisingizio cha corona-bandia kutaka kupiga pesa, kuwaibia watanzania na kuwaangamiza kwa chanjo za hovyo hovyo.

Hilo genge la madaktari uchwara wenye mabarakoa hawajatueleza kwanini watu mitaani hawaugui corona licha ya kutokuchukua tahadhari yoyote kwa miaka miwili sasa.

Hawajatueleza ni kwanini wanataka watu wajifungie vyumbani kwa ugonjwa ambao haupo na hatuoni madhara yake.

Hiyo corona wanayoizungumzia iko kwenye vichwa vyao tu. Ndio maana wamevaa mabarakoa makubwa kuficha nyuso zao kwa aibu ya ugaidi na WIZI wanaotaka kuufanya.
Màtaga mnashida Sana,bado hjaamini Kama tupo awamu ya 6,
Kama vipi undeni time yenu.
 
Back
Top Bottom