#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Eti mlipuko? Mlipuko gani?

Mwanzoni mlituambia corona ina "mawimbi".

Tukasubiri wimbi la kwanza, likaja likapotea na tukabaki vile vile.

Mkasema linakuja wimbi la pili tukae chonjo — nalo likaja likapotelea mbali.

Sasa hivi mnasema sijui wimbi la tatu!

Kwendeni huko na mawimbi yenu uchwara!

MAJIZI nyinyi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Bado kuna wasaliti wanaodanganywa kwa kipande cha mkate.
Yaani unataka kudhoofisha watetezi wa wananchi.
Eti:- uanze kuchanja wanajeshi tutalindwa na nani kama chanjo ikienda vibaya!?

Eti:- uchanje viongozi wa dini huu ni ushetani wa yule mnyama 666. Viongozi wa dini ndio wanaoleta amani katika nchi kuwaua viongozi wa dini ni kuondoa amani nchini. Nchi inakuwa chini ya ulizi wa UN na mapigano hayatakuwa na mwisho. Huu ni ushetani

Eti:- uchanje wahudumu wa wafya. Maana yake wahudumu wote watakufa hatutakuwa na wahudumu wa afya. Nchi itakuwa maskini wa kutupwa. Magonjwa yataongezeka, NGO zitatamalaki kutoa misaada ya chakula. Tutakuwa nchi ya ovyo duniani.


Bill Gates kaachana na mke wake ni dalili tosha kuwa Bill Gates anachokifanya ni ushetani. Mke wake kaamua kuachana na ushetani huo.

Tukatae kuwa sehemu ya Bill Gate plan kama mke wake walivyokataa.
 
Waamze wao kwanza!wasitafute umaarufu kwenye miili yetu!
FB_IMG_1621324696009.jpg
 
Waamze wao kwanza!wasitafute umaarufu kwenye miili yetu!View attachment 1789506
Nakubaliana wa kwanza kuchajwa wawe wanasiasa na wabunge maana huko kwao ndio wanajifanya kuna hiyo Corona hewa

IKIWA chanjo ina shida hata wakifa hao sio kesi tutachagua wanasiasa na wabunge wengine

Ila wahudumu wa afya wasichanjwe wapewe tu vifaa vya kujikinga wanapohudumia wagonjwa wa Corona kama watakuja kutokea

Askari wasichanjwe kabisa ikija kutokea ina madhara tumekwisha.

Wananchi wa kawaida anayetaka ndie aende kuchanja tena kwa gharama zake sio kwa kodi zetu
 
Eti mlipuko? Mlipuko gani?

Mwanzoni mlituambia corona ina "mawimbi".

Tukasubiri wimbi la kwanza, likaja likapotea na tukabaki vile vile.

Mkasema linakuja wimbi la pili tukae chonjo — nalo likaja likapotelea mbali.

Sasa hivi mnasema sijui wimbi la tatu!

Kwendeni huko na mawimbi yenu uchwara!

MAJIZI nyinyi!
Shukuru Mungu kama huna ndugu waliopoteza maisha kwa changamoto za kupumua.

Wahindi walikuwa na dharau kama wewe kilichowakuta mwaka huu hawatakuja kukisahau, wamechoma moto miili mpaka miti imewaishia.

Cha muhimu kuwa mwangalifu na usidharau uwepo wa covid19.
 
Hawa ni wahuni tu MAJIZI na WAHALIFU wanaotumia kisingizio cha corona-bandia kutaka kupiga pesa, kuwaibia watanzania na kuwaangamiza kwa chanjo za hovyo hovyo.

Hilo genge la madaktari uchwara wenye mabarakoa hawajatueleza ni kwanini watu mitaani hawaugui corona licha ya kutokuchukua tahadhari yoyote kwa miaka miwili sasa.

Hawajatueleza ni kwanini wanataka watu wajifungie vyumbani kwa ugonjwa ambao haupo na hatuoni madhara yake.

Hiyo corona wanayoizungumzia iko kwenye vichwa vyao tu. Ndio maana wamevaa mabarakoa makubwa kuficha nyuso zao kwa aibu ya UGAIDI na WIZI wanaotaka kuufanya.

20210501_204107.jpg
 
Lugha ya Kingereza nayo bana, kujifungia mwenyewe kwa kushurutishwa ni "lockdown" ila kufungiwa selo kwa tuhuma za kufanya kosa la kisheria inageuka kuwa "lockup"

Tukirudi kwenye mada, wasomi wetu ni wazuri mno kwenye "literature review" kwa kuwa ni rahisi kuokoteza masuala husika na hadidu rejea katika "search engines" na hatimaye kuyaweka katika "local context"

Wengi ni wavivu kutafuta nondo halisi Uswazi ili kupata picha halisi. Bali huishia kutengeneza takwimu za kupika ili kujenga ushawishi wenye vigezo vya kitaaluma.

Kwa jinsi watu wanavyolundikana na kujiachia kila sehemu hapa nchi, kama maambukizi ya COVID 19 yangekuwa ktk liwango cha "alarming rate" basi jambo hilo lingeonekana dhahiri kabisa.

Hii kitu itakuwa kama ile 'professorial rubbish' ya makinikia kutoka kwa wale wasomi ambayo Tundu Lissu aliwahi kutolea maelezo ya kina.
 
Fanyeni mfanyavyo - hii ni global epidemic wa hiyo hatua zitakazotumika ni zile zilizopitishwa na WHO... sasa kama mna mawazo ya kuendelea kujifukiza endeleeni na familia zetu sisi tunataka chanjo hata kesho ije tuanze kuchanja.

Huna uwezo wa kwenda against Dunia, msidanganye watu mtu Corona ipo na inaua... itatumaliza hasa wazee na wenye Ukimwi na magonjwa nyemelezi ni balaa.
 
Mkuu we si wa kawaida, yaani unamtisha hadi moderator?
Uzi huu nimepost majukwaa mawili tofauti. Ghafla ukaunganishwa ndo nikarudi kwenye huu ambao haujaunganishwa nikaedit at least imesaidia umedum dum
 
Acha ushamba nawasi na akili ako .umetumia ID ipi kujua huyo ni msukuma. 1 pili huyo samia ye nae ni mwanadamu kwahiyo kila kitu tukubali .basi nguja tumchukue mkeo tumgawane niwazo kuu hilo

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Wapi nimesema ni msukuma, je unajua maana ya "Sukuma gang" au umekurupuka tu. Kama mnajua kuwa samia naye ni mwanadamu, je mbona mlikuwa mnaamini kila analowaambia jiwe ambaye naye alikuwa binadamu
 
Back
Top Bottom