#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Wapi nimesema ni msukuma, je unajua maana ya "Sukuma gang" au umekurupuka tu. Kama mnajua kuwa samia naye ni mwanadamu, je mbona mlikuwa mnaamini kila analowaambia jiwe ambaye naye alikuwa binadamu
Ndomaana nakuita mshamba (jiwe ndo nani). Aidha sukuma gang inamaana gani kwa uelewako.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
MODS Tuheshimiane sitaki na uzi huu muunganishe

Nawasalimu kwajina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
Hawa jamaa wa tume na mama yetu wa taifa wanatutafuta watanzania! Hii swala la kuunda tume lenyewe lilikaa ki magumashi tu! Haya mapendekezo tuliyategemea hata kabla ya kuundwa kwa tume yenyewe!
 
Hawa jamaa wa tume na mama yetu wa taifa wanatutafuta watanzania! Hii swala la kuunda tume lenyewe lilikaa ki magumashi tu! Haya mapendekezo tuliyategemea hata kabla ya kuundwa kwa tume yenyewe!
Wiki mbili kabla yakutolewa kwa ripot mama ndo akaanza kuvaa barakoa.
 
Eti mlipuko? Mlipuko gani?

Mwanzoni mlituambia corona ina "mawimbi".

Tukasubiri wimbi la kwanza, likaja likapotea na tukabaki vile vile.

Mkasema linakuja wimbi la pili tukae chonjo — nalo likaja likapotelea mbali.

Sasa hivi mnasema sijui wimbi la tatu!

Kwendeni huko na mawimbi yenu uchwara!

MAJIZI nyinyi!
😀😃😄😁😁
 
Fanyeni mfanyavyo - hii ni global epidemic wa hiyo hatua zitakazotumika ni zile zilizopitishwa na WHO... sasa kama mna mawazo ya kuendelea kujifukiza endeleeni na familia zetu sisi tunataka chanjo hata kesho ije tuanze kuchanja.

Huna uwezo wa kwenda against Dunia, msidanganye watu mtu Corona ipo na inaua... itatumaliza hasa wazee na wenye Ukimwi na magonjwa nyemelezi ni balaa.
Chief you are right, yes! it is a global pandemic disease, lakini suala la kuniridhisha juu ya hizi chanjo ni muhimu pia. Haitakuwa jambo la maana kukimbilia pasipo hakikisho la kiusalama kwa mtumiaji.

Mataifa makubwa na yenye nguvu kubwa duniani yasijekuwa yamefanya "global depopulation conspiracy" kwa kuwa hii ni njama yao ya muda mrefu na hata 'advocaters" wao kama wakina Bill Gates hawajifichi ktk hili.

Katika mojawapo wa maazimio ambayo Umoja wa Mataifa umeyapitisha na nchi wanachama kuyaridhia ni kuzitambua jamii za LGBTI. Yote haya yanabeba agenda za kupunguza idadi ya watu duniani.

Sasa kama wewe unaona ni fursa adimu ya kwenda nje ni ya kutafuta maisha kwa sharti la kupata chanjo, basi siku ukianza kupata hamu na raha ya kukumbatiwa na mtu wa jinsi kama yako basi utambue hiyo ndiyo athari yenyewe.
 
MAMA YUPO NYUMA YA MUDA.
Watu huko mpaka wanapewa OFA ZA BIA ili wakubali KUPEWA CHANJOView attachment 1789569
COVID COMPLIANT BAR !!!!!!! Leseni zitaanza kutolewa zilizoandika this is A COVID 19 COMLIANT BAR ,wakinogewa Baadaye watahamia misikitini na kuandika this Mosque is a COVID COMPLIANT MOSQUE na baadaye wataenda makanisani na kuandika this is a COVID COMPLIANT CHURCH!!! nk

 
Hawa ni wahuni tu MAJIZI na WAHALIFU wanaotumia kisingizio cha corona-bandia kutaka kupiga pesa, kuwaibia watanzania na kuwaangamiza kwa chanjo za hovyo hovyo.

Hilo genge la madaktari uchwara wenye mabarakoa hawajatueleza ni kwanini watu mitaani hawaugui corona licha ya kutokuchukua tahadhari yoyote kwa miaka miwili sasa.

Hawajatueleza ni kwanini wanataka watu wajifungie vyumbani kwa ugonjwa ambao haupo na hatuoni madhara yake.

Hiyo corona wanayoizungumzia iko kwenye vichwa vyao tu. Ndio maana wamevaa mabarakoa makubwa kuficha nyuso zao kwa aibu ya UGAIDI na WIZI wanaotaka kuufanya.
Nimeshangaa sana wanaposema eti chanjo haina madhara, wamepima maabara gani? Ikiwa huwezi kutengeneza chanjo, unawezaje kuthibitisha ubora wa chanjo ambayo hujatengeneza? Huenda mabeberu wamefanya yao.
 
MODS Tuheshimiane sitaki na uzi huu muunganishe

Nawasalimu kwajina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
Watoto wa marehemu poleni sana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
MODS Tuheshimiane sitaki na uzi huu muunganishe

Nawasalimu kwajina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
Mkuu mm mwenyewe nimeshangaa sana maana kwa mwezi huu tu nimesafiri karibu mkoa 5 ikiwemo dar nimeona mikusanyiko ya hatari sana, kwenye mabas ndio usiseme,hapa kuna kitu kinatengezwa ili watu wapige kodi zetu kabisa.
 
Unajua maana ya free beer?
na wakiandika hi vyo msikitini watakuwa wanatoa swala za bure?
COVID COMPLIANT BAR !!!!!!! Leseni zitaanza kutolewa zilizoandika this is A COVID 19 COMLIANT BAR ,wakinogewa Baadaye watahamia misikitini na kuandika this Mosque is a COVID COMPLIANT MOSQUE na baadaye wataenda makanisani na kuandika this is a COVID COMPLIANT CHURCH!!! nk

 
Tanzania hakuna wagonjwa wa Corona.
Kwanini tume ishauri serikali itangaze uwepo wa Corona nchini?
Mkuu mm mwenyewe nimeshangaa sana maana kwa mwezi huu tu nimesafiri karibu mkoa 5 ikiwemo dar nimeona mikusanyiko ya hatari sana, kwenye mabas ndio usiseme,hapa kuna kitu kinatengezwa ili watu wapige kodi zetu kabisa.
 
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
Alietaka kujua mwendazake aliathiri vipi taifa asome chapisho la huyu bwana. siku zote TAFITI hupingwa kwa TAFITI. nchi haithamini wala kutambua mchango wa wataalam.
 
Tanzania hakuna wagonjwa wa Corona.
Kwanini tume ishauri serikali itangaze uwepo wa Corona nchini?
unatafiti yeyote ya kitaalam uliofanya? kama hujafanya research kaa kimyaaaaaa, nyie ndo mnaopunguza THAMANI ya elimu ya juu.
 
Ndugu yangu hii nchi imejaa watu waliokaa darasani muda mrefu kuliko wengine na kujiita maprofesa.
Kichwani hamnaga kitu.

Yaani walitakiwa waje na kauli ya watanzania waendelee na maisha yao huku wakiendelea na kuchukua tahadhari na si kusema serikali iruhusu machanjo.

Hii nchi hii!!!
Mungu atusaidie tu.
try to thing globally, dunia nzima watu wanafanya tafiti juu ya kukabiliana na TATIZO JIPYA katika jamii zao, sisi tuna NIMR,TFDA,GCLA na TBS, unadhani kazi ya haya mashirika ni ipi??????? hatuishi peke yetu duniani tunaishi na mataifa mengine lazima tujifunze wengine wanafanyaje ili nasi kama taifa tuchague njia ya kupita and that is what actually done by our president. watanzania tumeathiriwa sana na utawala uliopita. utawala wa kutusi wenzetu kwa kuwaita MABEBERU utawala wa kutotaka kushauriwa wala kujifunza kwa jumuiya za kimataifa nini wanafanya.
 
kujua kama wagonjwa wa Corona wapo au hawapo.
Nayo UNAHITAJI research?.
Baba yako alipoteza hela zake kukusomesha
Bora angenunua kuku angekula mayai
kuna uwezekano mkubwa hujui nini maana ya RESEARCH and its application.
 
Back
Top Bottom