Vyombo vya ilinzi na usalama kuwekwa tageti ya kwanza limenifikirisha sana na sijapata majibu,risk yao ya kuambukizwa ni ipi mpaka wawekwe mstari wa mbele? Kama ni ile kukaa pamoja vipi wanafunzi shuleni na vyuoni hawakuwekwa mstari wa mbele?Mpumbavu wewe!!
Wewe una corona?
Majitu yamejifungia huko yanatoka na ma report ya kijinga unaunga mkono?
Hizi tume ndo zile za wizi kama zile za awamu ya nne. Na ukishaona serikali inaunda tume kwa kitu ambacho ni world wide ujiulize sana!!!
Kwani hajui nchii hii corona haikuwahi kuisha?
Nani hajui kuwa corono haina tiba?
Nani hajui hatua za kujikinga?
Aliyeunda tume amehamia nchii hii akitokea wapi?
Yaani ni ujinga ujinga tu.
Mtu atashauri watu wachanjwe...halafu anasisitiza watumisi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama......hufikirii tu kuna nini hapo?
Nani kwaambia hilo ndo kundi linaloshambukiwa na corona kuliko wengine.
Anyways, iko siku tutajielewa.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
kama ndiyo ni lazima wawachanje wawachanje kwanza vijana wa JKT baada ya miaka ndo jeshi.