#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Mpumbavu wewe!!
Wewe una corona?

Majitu yamejifungia huko yanatoka na ma report ya kijinga unaunga mkono?

Hizi tume ndo zile za wizi kama zile za awamu ya nne. Na ukishaona serikali inaunda tume kwa kitu ambacho ni world wide ujiulize sana!!!

Kwani hajui nchii hii corona haikuwahi kuisha?
Nani hajui kuwa corono haina tiba?
Nani hajui hatua za kujikinga?
Aliyeunda tume amehamia nchii hii akitokea wapi?

Yaani ni ujinga ujinga tu.

Mtu atashauri watu wachanjwe...halafu anasisitiza watumisi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama......hufikirii tu kuna nini hapo?

Nani kwaambia hilo ndo kundi linaloshambukiwa na corona kuliko wengine.

Anyways, iko siku tutajielewa.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Vyombo vya ilinzi na usalama kuwekwa tageti ya kwanza limenifikirisha sana na sijapata majibu,risk yao ya kuambukizwa ni ipi mpaka wawekwe mstari wa mbele? Kama ni ile kukaa pamoja vipi wanafunzi shuleni na vyuoni hawakuwekwa mstari wa mbele?
kama ndiyo ni lazima wawachanje wawachanje kwanza vijana wa JKT baada ya miaka ndo jeshi.
 
Vyombo vya ilinzi na usalama kuwekwa tageti ya kwanza limenifikirisha sana na sijapata majibu,risk yao ya kuambukizwa ni ipi mpaka wawekwe mstari wa mbele? Kama ni ile kukaa pamoja vipi wanafunzi shuleni na vyuoni hawakuwekwa mstari wa mbele?
kama ndiyo ni lazima wawachanje wawachanje kwanza vijana wa JKT baada ya miaka ndo jeshi.
Nafuu wewe ndugu yangu unawaza na kuona mbali. Ile tume ni kama imepata ushauri kutoka kwa watu wasiolitakia mema taifa letu.

Ukweli utajulikana tu.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Shukuru Mungu kama huna ndugu waliopoteza maisha kwa changamoto za kupumua.

Wahindi walikuwa na dharau kama wewe kilichowakuta mwaka huu hawatakuja kukisahau, wamechoma moto miili mpaka miti imewaishia.

Cha muhimu kuwa mwangalifu na usidharau uwepo wa covid19.
Hizo chanjo ni nchi gani zimemaliza vifo kutokana na chanjo?
zaidi ya mwaka babu zenu waliotengeza chanjo wamejifungia,wanaogopa nini si wamechanjwa?
waje wajifunze kwetu kuliko kuleta porojo kisa kwa vile wazungu ndo walitengeneza standards za kushughulika na corona,hata kama zimeshindikana ziguatwe tu? Hovyo.
 
Hizo chanjo ni nchi gani zimemaliza vifo kutokana na chanjo?
zaidi ya mwaka babu zenu waliotengeza chanjo wamejifungia,wanaogopa nini si wamechanjwa?
waje wajifunze kwetu kuliko kuleta porojo kisa kwa vile wazungu ndo walitengeneza standards za kushughulika na corona,hata kama zimeshindikana ziguatwe tu? Hovyo.
Vaa barakoa unapokuwa katika makusanyiko. Mengine yote ni mbwembwe zetu tu.
 
Atakaye kujiponya nafsi yake ataipoteza, hili dudu likipata nguvu hapa nchini unabii wa bill gate ule aliosema maiti zitatapakaa barabarani utatimia dhahiri.
Utaanza na wewe unayeutamani utimie,sisi wengine tunajua kufa kupo tu tusichojua ni lini na kws njia gani.
huwezi mpangia Mungu walitabiri tutakufa wengi sisi badala yake imewala zaidi ya 3m.Afrika hata laki mbili haifiki.
 
Mpumbavu wewe!!
Wewe una corona?

Majitu yamejifungia huko yanatoka na ma report ya kijinga unaunga mkono?

Hizi tume ndo zile za wizi kama zile za awamu ya nne. Na ukishaona serikali inaunda tume kwa kitu ambacho ni world wide ujiulize sana!!!

Kwani hajui nchii hii corona haikuwahi kuisha?
Nani hajui kuwa corono haina tiba?
Nani hajui hatua za kujikinga?
Aliyeunda tume amehamia nchii hii akitokea wapi?

Yaani ni ujinga ujinga tu.

Mtu atashauri watu wachanjwe...halafu anasisitiza watumisi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama......hufikirii tu kuna nini hapo?

Nani kwaambia hilo ndo kundi linaloshambukiwa na corona kuliko wengine.

Anyways, iko siku tutajielewa.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
👏👍
 
Wewe jamaa unapotosha taarifa.
 
Sijajua hawa maprofesa wamewaza nini.
au labda wameona kuna wagonjwa wa Corona huko mahospitalini.
ILA kama hawajaona wagonjwa wa Corona.huu ushauri wao NI BATILI
Ili waanze kupiga pesa za semina za corona,overtime,na kujipendekeza.
 
Yaani kweli tunakubali vyombo vya usalama wachanjwe!? Hahahhahaa....

Tutavuna tunachopanda
 
Kwenye hili awamu ya 6 imefeli kabisa na nafikiri kuna mambo mengi yatashindwa kutekelezeka awamu hii.
Hayati JPM alianza vizuri kwa kujaribu kuwajenga viongozi kuwa na uwezo wa kutumia maarifa na taaluma zao kutatua matatizo yanayozikabili jamii zetu za kiafrica na si kukopi tu kila jambo linalofanyika kwa wenzetu., na ndiomana Mataifa mengi walimshangaa namna alivyopambana kukabiliana na janga hili lkn mwisho aliibuka mshindi.
Tumeona jinsi sintofahamu ya kuahilishwa kwa mechi ya watani wa jadi bila sababu,na hakuna majibu ku kutoka taasisi au wizara husika, na sasa hili la corona.
Binafsi naanza kukosa imani na selikali hii.
 
Nimefuatilia taarifa ya ripoti, hakuna mahali imesema Tz tunahitaji lock down. Mleta mada umepotosha kwa makusudi.
 
Hivi kumbe wamependekeza lockdown😀😀. Hawa watu wanakung'utwa sio bure
 
Viongozi wa kibongo bongo ni wanafiki tu,na wachumia tumbo,hiyo report imependekeza hayo mambo kwasababu huyu Mama ndivyo hivyo hivyo anavyotaka,swali la kujiuliza ni kwanini huyu Mama anataka hivyo?....kuna shinikizo lolote nyuma ya pazia ?
 
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
Hawakupendekeza kusali kumuomba Mungu?
 
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.

Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.

Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu. Taarifa hii ni ya nchi iliyokumbwa na Corona na yenye hari tata sana. Taarifa hii nahisi ilikua ya Kenya sisi tumecopy na sehemu iliyoandikwa Kenya Tumeandika Tanzania. Tena Kenya yenyewe sio yaleo ni ile Kenya iliyoweka lockdown county 5, lakini yasasa haina huo mfumo unaopendekezwa na tume.

Wote tunajua nchi hii kila pembe hakuna taarifa za hilo janga hata toka kwenye mitandao ya kijamii hatuoni wala kusikia. Sehemu nyingi nchini toka 29 June 2020 serikali iliporuhusu shule kufunguliwa raia tuliachana na tahadhari za Corona. Masuala ya sanitizers, barakoa, maji tiririka na kutokukusanyika yalipotea.

Watu wanakula bata, misibani tunashiriki, viwanjani tunajaa, maeneo yote yamikusanyiko yanajaa mpaka basi lakini vifo wala wagonjwa wa Corona hakuna.

Mama yetu hajawahi kuchukua tahadhari ya Corona wakati wote alikua free ameanza kuvaa barakoa wiki mbili kabla ya ripot ya tume.

Leo Dunia inaanza kutengemaa, ulaya viwanjani wameanza kuruhusu mashabiki, vifo vinapungua, lockdown zimeondolewa eti tume inapendekeza lockdown Tanzania seriously!

Niombe wananchi tuchukue tahadhari lakini hii tume ituambie walikokusanyia data.
well said safi safi sana hii taarifa ziwafikie viongozi wanahusika na hili
 
Nimefuatilia taarifa ya ripoti, hakuna mahali imesema Tz tunahitaji lock down. Mleta mada umepotosha kwa makusudi.
Ni kipofu atasema hajaona pendekezo la lockdown.Walipopendekeza takwimu zitangazwe maana yake ndugu yake lockdown yupo njiani.
wanaoamua lockdown ni hao waliotoa pesa za kupambana na janga.
vipimo vyao vyenye kuonyesha hata mapapai postive,itaonyesha maambukizo TZ yapanda kwa kasi,halafu na zile mask Alizo onya mwendazake visa vitaongezeka propaganda za wimbi la tatu limeanza,na mdudu wa India atinga TZ.
Mabeberu yataagiza lockdown ili watu wasiishe,kumbe yanajua baada muda uchumi utaharibika,watu watapoteza kazi.
yataongeza mikopo kwa jina la misaada huku yakipiga faida tokona na mikopo,mask,na ile mivipimo.
Nasema uongo ndugu zangu?
 
kwa sasa hatuna sakata la cvD19 wala hatuna data zinazoonesha wapo victims walioathiriwa na tatizo lenyewe
ndio tume imechunguza ila kuweni makini wapo watu hutumia matatizo ama majanga kama fursa huku wananchi wanakiu cha kufahamu yanayojiri na hataima ya maisha yao
huku kwetu hakuna mgonjwa wala mshukiwa ama vifo vya huo ugonjwa labda huko kwenu
labda lije wimbi la tatu la ugonjwa huu wa mlipuko ila
tuzidi kuchukua taahadhari kama inavyoelekezwa distance ,sanitizer,but sio lockdown sikuhizi wanasayansi wamekuwa wachovu kuchunguza mambi copy n paste ndo nn kupiga pesa huku tunataka kujua yaliyojirii
 
Back
Top Bottom