Wakuu, nimeipenda taarifa hii ya THBUB. Imechukua siku chache na watu wachache (naamini haikutumia gharama kubwa).
Imefafanua kila kitu kwa marejeo ya sheria mama na mikataba ya kimataifa ambayo TZ imeridhia.
Imeandaliwa kisomi na si kama riwaya ya ile kamati ya Mhe. Waziri.
Kwa kweli nawapongeza, ni kazi ya serikali sasa kuifanyia kazi kama kweli inajali.
Imefafanua kila kitu kwa marejeo ya sheria mama na mikataba ya kimataifa ambayo TZ imeridhia.
Imeandaliwa kisomi na si kama riwaya ya ile kamati ya Mhe. Waziri.
Kwa kweli nawapongeza, ni kazi ya serikali sasa kuifanyia kazi kama kweli inajali.