Ya kiswahili inatosha. Mbona mabeberu hawatuandikii press za kiswahili?
Tuache ushamba.
Sisi ni wahitaji ndio maana atuishi kwenda kwao hivyo ni lazima tuchuchumae wakati mwingine!! Umewahi kuisikia huu usemi :' MUHITAJI HANITHI INGAWA NI LIJARI?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kiswahili inatosha. Mbona mabeberu hawatuandikii press za kiswahili?
Tuache ushamba.
Mbona hiyo intenashno comunity haituletei habari za kiswahili na sisi tuelewe wanachofanya huko kwao?
Tuache ushamba.
Haina maana. US au beberu yeyote hawezi kusoma habari zenu feki feki. Habari za swrikali haziaminiki kabisa.Sisi ni wahitaji ndio maana atuishi kwenda kwao hivyo ni lazima tuchuchumae wakati mwingine!! Umewahi kuisikia huu usemi :' MUHITAJI HANITHI INGAWA NI LIJARI?"
Sio Kweli! Serikali ya Marekani wizara ya Mambo ya nJe ina kitengo kinachoshuhurika na Afrika ikiwemo Tanzania hivyo ni jukumu lao kujua kila kitu kinachoendeleA ILI WAWEZE KUYAWEKA MAMBO YAO SAWA!!! Kwavile hao wamarekani wanakijua KISWAHILI huweza kusoma lugha zote mbili!!Haina maana. US au beberu yeyote hawezi kusoma habari zenu feki feki. Habari za swrikali haziaminiki kabisa
Mkuu sijawahi kukuona kule JF English
Kapigane na jiwe au ukuta halafu uje uandike kilichojiriYa kiswahili inatosha. Mbona mabeberu hawatuandikii press za kiswahili?
Tuache ushamba.
Dina kantri wanamasharti kama waganga wakienyejiKurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili ; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Huwa zinatoka mbili, wee unaona(ga) ya kingereza tu kwasababu una allergy nacho
Samahani, wewe ni CHIZILugha ngeni za nini nyumbani. Kwani tunayoyafanya lazima mabeberu kuwajulisha kuwa tumefanya haya.! Asilimia 99% ya watanzania wengi wao hiongea kiswahili kama lugha ya taifa, na umoja wa afrika wamepitisha lugha hiyo kuwa lugha ya mawasiliano, tupende vyakwetu tusiwatukuze ngozi nyeupe kila kitu.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili ; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Crazy people. Kila kitu wanapinga tu.Sikutegemea kuna mtu angekuja na hoja kama hii...taarifa zinatoka mbili,moja ya kingereza na ya kiswahili.
Wewe ni jinga kabisa.Kwani hujui kwamba Lugha rasmi za kazi Tzn ni Kiswahili na kingereza?Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili ; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Za Kiswahili huzioni? We komaa na za Kiswahili unazoelewa.