Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

Ila wabongo kila kitu tunalalamika juzi tu hapa alisemwa mtu hajui kingereza sijui ndio mana katolewa kawekwa anaejua bado malalamishi smh
 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

View attachment 2120348
Mkuu Tanzania ni nchi katika nchi za dunia. Kiingereza ni International language, one of them. Pia huwa zinakuwepo mbili ya Kikwetu na ya Dunia. Hivyo fuatilia kwa umaskini mkuu.
 
Mtoto wa Form 1 Tanzania anasoma 3/4 ya masomo yote kwa lugha gani ?
 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

View attachment 2120348
Kwa hili nakuunga mkono 100% .
 
Halafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?

Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
Mzee, alishatangaza BBC FOCUS ON AFRICA
 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

View attachment 2120348
Rwandees tena wakati hii ni Tanzania?
 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

View attachment 2120348
Lakini amekuwa bilingual, yaani anaandika Kisw na Eng. Kwa hiyo kwangu mimi sioni tatizo.
 
Halafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?

Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
unafahamu serikali yetu ya TZ inatumia lugha ngapi
 
Halafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?

Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
Inaitwa ulimbukeni.
 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini

Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.

Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini

Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.

View attachment 2120348
Kwanini usisome ile ya kiswahili?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom