Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Sure..That's a pure sign of inferiority complex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure..That's a pure sign of inferiority complex.
Inategemea na muktadhaKama ninhivyo Mbunge mmoja atoe hoja zake kwa kimombo huko bungeni uone kama hajakatazwa au mtangazaji atangaze kipindi chake kwa kimombo uone kama hajaondolewa studio
Mkuu Tanzania ni nchi katika nchi za dunia. Kiingereza ni International language, one of them. Pia huwa zinakuwepo mbili ya Kikwetu na ya Dunia. Hivyo fuatilia kwa umaskini mkuu.Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Kwa hili nakuunga mkono 100% .Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Mzee, alishatangaza BBC FOCUS ON AFRICAHalafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?
Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
Rwandees tena wakati hii ni Tanzania?Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
Lakini amekuwa bilingual, yaani anaandika Kisw na Eng. Kwa hiyo kwangu mimi sioni tatizo.Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348
unafahamu serikali yetu ya TZ inatumia lugha ngapiHalafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?
Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
Inaitwa ulimbukeni.Halafu cha ajabu huyo Zuhura alikuwa BBC -Kiswahili kwa nini hawakumuweka BBC- English? Katoka huko kwa English people anakuja kutambia Waswahili na English. Kwa nini alikuwa haongei English alipokuwa England BBC anakuja kuongelea English Tanzania kwa Waswahili?
Lows IQ people kama Zuhura ndo maana English wamekataa kumuongezea Mkataba!
Kwanini usisome ile ya kiswahili?Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini
Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa hayupo Uingereza ni muhimu sana taarifa aziandike kwa Kiswahili kwani itasaidia umma wote kufahamu yanayoendelea nchini.
Zuhura tunaomba ufahamu sisi ni Watanzania na lugha yetu ni Kiswahili; lugha unayotumia kutupasha habari za Ikulu ni mwiba kwa walio wengi hapa nchini
Tunaomba ubadilike na kama unaona ni muhimu kuandika lugha hiyo basi tuandikie na lugha yetu ya kiswahili.
View attachment 2120348