: CROWDRISING ni Taasisi Ambayo ipo duniani ikiwa na Nia na lengo la kusaidia duniani au jamii iliyopo duniani kujikwamua yenyewe kiuchumi, Yaaaani CROWDRISING wenyewe wametoa tu MFUMO Narudia tena MFUMO, ambao wanajamii ambao ni mimi na wewe tunatumia au tunautumia au utautumia wewe pindi utakapojiunga KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HISTORIA CROWDRISING ni Taasisi iliyoanzishwa MAY 2016 nchini Canada.
Lengo Kuu la hii Taasisi ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.
Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?
Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya CROWDRING ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 20000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa CROWDRISING Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.
Hivyo
[emoji383]Unatoa / kuchangia 20000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..
[emoji837] GRADE 1 [emoji837]
[emoji383]Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 20000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO
[emoji383]5× 20000= 100,000/=
[emoji837] GRADE 2 [emoji837]
[emoji383]Kwenye hiyo 100,000 unatakiwa kuchangia 40,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.
[emoji383]So, itakuwa
100,000-40,000= Utabakiwa na Tsh 60,000/=
[emoji383]60000-20,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 40,000/=
[emoji383]40,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.
[emoji383]2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...
[emoji383]Then itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)
[emoji383]Na hao 25 Wakishirikisha wa 5 wao na wao watakuwa na 100,000 /=
[emoji383]Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 40,000 toka kwenye 100,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 40,000 pale awali = SAWA??
[emoji383]Hivyo basi 40,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 1,000,000/=
[emoji837] GRADE 3 [emoji837]
[emoji383]Kwenye 1M yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 100,000=
1,000,000 -100,000= (900,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)
[emoji383]Hela inazidi kuongezeka tuuuu...
[emoji383]3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 100,000 kila mmoja
[emoji383]Tsh 100,000 X125 wajukuu unapata Milioni 12.5M
Tambua, CROWDRISING Kuna Grade ya 1 hadi Grade 15. Kwenye hiyo grade ya 3 Tayari una Milioni 12.5. Ukifika Grade ya 15 utakuwa na Mamilioni mangapi?
[emoji383]KARIBU CROWDRISING
[emoji383]HEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI, KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K KARIBU UJIUNGE NA CROWDRISING NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.
[emoji815]KUMBUKA [emoji815]
CROWD RISING haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA CROWDRISING ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.
[8/30, 17:17] Lubango Seni✍: "ANGALIZO/TAMBUA"
1)Mfumo wa Crowd rising haupo kwa ajili ya kupokea/kutunza pesa bali kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kumchangia,kiasi gani,na wakati gani.
2)Mfumo huu upo kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kutumiwa pesa ili apandishwe daraja pindi anapohitajika/anapohitaji kupanda daraja.
3)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni vikwazo gani atakavyokumbana navyo pindi atakavyochelewa kupanda daraja.
4)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni kikwazo gani kitakachomsibu pindi atakapokuwa amepokea pesa toka kwa mchangiaji na akachelewa kumpandisha(kum-approve).
Mwana-Crowdrising unatakiwa kujifunza kwa makini na kuelewa namna ya kuwaunga watu kwenye huu mfumo kwa kutumia simu yako(smartphone kama unayo),laptop,au nenda kwenye internety cafe.
Ni muhimu kupata elimu hii ya kumuunga mtu ili nawe unapompata wa kumuunga na huu mfumo iwe rahisi kwako kumfundisha/kumuelekeza.
Karibu ili upate mafunzo haya na pia kwenye Semina mbalimbali uweze kupata mbinu za kupata watu wako watano.
Elimu hii ni bure. Ni PM au mpigie huyu mdau 0688778484
Mungu akubariki.