Pre GE2025 Taarifa za ndani zinadai Mbowe anashinikiza Lissu akatwe kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwa mujibu wa kanuni, sheria na katiba ya chadema, kibaraka wa mabenyenye ya Magharibi ataenguliwa hatua za mwanzo kabisaa uchaguzi wa chadema taifa 🐒
Wathubutu waone
 
Kama Mbowe amechoka hofu ya nini kwamba Mropokaji Lissu atakatwa?
 
Mnamuogopa sana Mbowe.
Alphonce Mawazo,Ben Saanane,Mzee Bao,Lisu na Risasi mwilini,Akwilina n.k na wengine wako ukimbizini ni Wahanga wa hiyo Saccos ya huyo Mangi😭😭😭
 
Mtasema mengi mwaka huu. Mbowe sio mjinga kiasi hicho. Hata Mnyika hawezi kukubali.

Amandla...
 
Hawezi hata kidogo
 
Mbowe amekataliwa kila kona.
Akileta rushwa zake toka ccm wajumbe kuleni ni kodi zetu lakini agenda yetu ni ile ile " Kukirudisha chama kwa wanachama"
Madalali wote tupa kule, huu ni wakati wa mabadiliko chanya
Maua yako💐💐💐💐
 
Mbowe
Mbowe must go
 
Hadi wewe🤣
 
Wanamuunga Mkono Mbowe wanamkataa Lissu huku wakimtukana na kumdharirisha, na kudai hakuwahi kuwa na msaada wowote ule kwa Chama.

Wanao muunga mkono Lissu wanamkataa Mbowe kwa heshima, wakitambua mchango wake, na wanatamani awapishe wenzake aliowajenga na wangependa kumuona akibaki kuwa mshauri wa Chama.
 
Mbowe hana jipya zaidi kupiga deal kwa sasa .....ameuzwa na chama kiko rehani......
 
Mnyika hawezi kufanya huo ujinga kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…