Taarifa za usajili wa dirisha dogo kwa timu za ligi kuu ya NBC

Taarifa za usajili wa dirisha dogo kwa timu za ligi kuu ya NBC

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Kwakuwa tupo Kwenye Dirisha Dogo la Usajiri na Timu mbalimbali Zinauza na Kusajiri Wachezaji, Basi Huuu ni Uzi Maalumu Kwaajiri ya Taarifa zote zinazo husu Usajiri kwa Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara.

Katika Kipindi cha Usajiri ndio Kipindi ambacho Wapenzi na Mashabiki wa Mpira hufuatilia sana Timu zao Pendwa Kujua Ni Nani Ameachwa katika kikosi, Nani Kauzwa, Nani Katolewa kwa Mkopo Na Nani Amesajiriwa. Basi Taarifa Zote Tutakuwa tukiziweka Hapa ili Tupate Muendelezo Wa Taarifa za Vilabu Vyetu.

Pia Kama Kuna Tetesi Yoyote Ya Usajiri Basi Tusisite Kuweka Hapa

-Yanga Imeshatangaza wachezaji ilio wasajiri na Inayoendelea kuwasajiri

-IBRAHIM AJIBU tayari Ameshatua Azam Kwa Mkataba Wa Mwaka Mmoja
 
IMG_2826.jpg
 
Mchezaji mahiri wa simba sc ametua Azam kama mchezaji huru kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Kila la kheri kwake

Simba nguvu moja

NB picha haihusiani na habari
---
1640877824096.png
 
Back
Top Bottom